David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

umesahau magaidi wa kiislamu factor wanaoua kama kuku msumbiji na wamekalia hizo route wanateka magari na maeneo kama wehu .JWTZ imemeleka jeshi kulinda upande wetu hali ya msumbiji mbaya
Hao Magaidi walikuwepo toka miaka hiyo eeh?? Acha kuleta porojo. Ina maana walikuwa wanapita Beira hao magaidi ndio wakasababisha wahamia Dsm? Hawa magaidi ambao hata miaka 8 hawana. Acha pumba.
 
Ubabe hauleti suluhu, wanaweza kuamua kutumia bandari ya Beira
Tangia hapo wanatumia Bandari nne tokea zamani mizigo yao hupita Bandari ya Namibia, South Africa, msumbiji na Angola hawana shida kubwa na Bandari, Zambia haiwezi kuathirika sana kwa kuikosa Bandari ya Dsm watakaoumia ni wafanyakazi wafanyabiashara binafsi wanaopeleka bidhaa mafuta mabasi ya abria
 
Sasa kwa huo ushauri wake si ndio wa kibwege kabisa. Ukiongeza tozo hao wanahamia Beira jumla hapo unakua umeumia mwenyewe na bado raia wako hawaingii Zambia. Ni upuuzi tu hapo. Angekuja na suluhisho lingine lenye maana.
hilo la kwake silinde la kizalendo katoa wewe la kwako suluhisho ni nini? Kwenye debate hujadili mtu toa suluhisho lako la kuitetea Tanzania ni lipi?: ohh angekuja na suluhisho wewe mbona huna!!! kichwa kitupu
 
Nimekuelewa sana.
 
Msumbiji kulivyo kuwa na waasi nani hajitaki?.
Hii ni bandari SALAMA kama Jina lake lilivyo
Sasa ukiwaongezea tozo za Transit na port charges ni kumpiga teke chura Bandari ya Beira inagharama nafuu kuliko Dar na unaenda kuiua sekta ya usafirishaji nchini na wengi watahamia Mozambique aluta continua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ikifanya hivyo ndio imejichimbia kaburi maana wao ndio wanatupa kipato kikubwa sana pale bandarini
Tanzania inanufaika zaidi na Zambia kuliko Zambia inavyonufaika na Tanzania, hata watanzania wengi wana maduka upande wa Zambia mipakani, wafanyabiashara wengi huuza bidhaa mafuta kusafirisha Abiria kwenda South Africa Congo Zimbabwe Botswana kupitia Zambia
 
kaangalie nani anamiliki vituo vyote vikubwa vya mafuta zambia na malawi ni watanzania chezea wewe
serikali ya malawi ya Joyce banda ilipinduliwa kwa watanzania kugoma tu kupeleka mafuta malawi wakawa wanapanga foleni wiki mbili unasubiria foleni ujaze kidumu cha lita tano!!! ili walau kila mtu apate

Silinde alichoongea yuko vizuri watafungua tu mpaka watake wasitake labda raisi wao awe hajipendi after all watanzania wana CCM ndio tulimwingiza madarakani
 
hilo la kwake silinde la kizalendo katoa wewe la kwako suluhisho ni nini? Kwenye debate hujadili mtu toa suluhisho lako la kuitetea Tanzania ni lipi?: ohh angekuja na suluhisho wewe mbona huna!!! kichwa kitupu
Kichwa kitupu ni cha silinde na chako na yule bwana anajaribu kumfurahisha "the mafichoni king of kings". Mwenzako akimwaga ugali , wewe kula mboga . Ukiimwaga unamkomoa nani?
 
Huyu kiazi naona akili yake imeanza taratibu kuwaza kiccm ccm
 
Haya bwana,lakini sio rahisi kihivyo bro
 
Kumiliki ndio nini? Kwani nchi yako ile? Nyerere alitaifisha majumba ya wahindi kwa maslahi ya Taifa hata wao wanaweza kufanya hivyo hivyo. Eti chezea waTanzania? Chezea waTz nchini mwa watu? Upuuzi huo. Wewe hujawahi kumweka mtu madarakani labda huko Zenji .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…