David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.

Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Jiwe ajidanganye kufanya hivyo atajionea mwenyewe kitakachotokea. Nilitegemea Silinde aifahamu japo kidogo jiografia ya Zambia. Tofauti ya umbali kutoka Lusaka hadi Dar na Lusaka hadi bandari ya Benguela iliyopo Angola ni kilometers 75.3. Ongezeni tozo muinufaishe Angola na South Africa.
 
Huyu dogo Silinde amechanganyiwa sasa, nilikuwa upande wake ila naona amepotoka vibaya sana.

Silinde kumbuka bila mpaka wa Zambia pengine wewe usingekuwa mbunge 2010 Jimbo la Tunduma.

Ni fedha za wananchi wa Tunduma zilizotokana na mpaka wa Zambia ndio zilikupatia wewe ubunge, Ile jeuri ya kukuchangia hela ya kampeni, hela ya kula, hela ya mavazi na kila kitu ilitokana na mpaka huu.

Leo unasema serikali iengeze tozo kwenye mizigo ya Wazambia, njoo Tunduma uangalie ndani ya hizi siku tatu uone maisha wanayoishi Wanatunduma.

Hakuna kabisa mzunguko wa hela, hakuna kwacha, hakuna kiazi Wala mchele unaovuka huko....hakuna Nguo Wala vifaa vya ujenzi vinavyovuka huko Ile jeuri ya Wanatunduma imekata kabisa....

Nenda pale Kisimani uone kama watu wameshika hela kama siku zote ..piga simu kwa watu wako waulize nini kinaendelea Tunduma.

Serikali inaathirika ila wananchi wa kawaida ndio tunaathirika zaidi.

Watu kila siku wanaamka asubuhi wanasikiliza serikali ya Zambia itasema nini kuhusu huu mpaka..hakuna tamko lolote zaidi ya gari za Askari zinazozurura kulinda mpaka.

Hivi umejiuliza kuhusu Watanzania waliotapakaa Ndani ya Zambia nzima kuanzia Lusaka,Ndola,Kitwe kote huko Watanzania hawahesabiki...Unataka na wao wapewe masharti magumu ya kuishi huko.?

Umejiuliza Watanzania wenye maduka upande wa Zambia hapa Tunduma maarufu kama eneo la black...mpaka leo mamia ya maduka ya Watanzania yamefungwa na soko lote umejiuliza kuhusu familia zao wanakula nini wanaishije na familia zao.?

Leo Zambia imeruhusu maduka ya vyakula kufunguliwa lakini maduka ya Watanzania hawajaruhusiwa Wala kuvuka hawajaruhusiwa.

Unaongea kama huijui Tunduma kweli wewe Silinde unaetaka kurudi Tunduma kuchukua jimbo unatoa kauli hiyo kweli..

Nakushauri hiyo kauli tolea huko huko bungeni ukija kusemea hapa Tunduma utapigwa mawe mchana kweupe hata usiamini kinachoendela...

Bado WanaTunduma wanaimani na wewe ila kwa kaulizi hizi watakususa mapema sana na hutaamini.

Tena ikibidi waombe radhi Wana Tunduma, hiyo kauli ingetolewa na wabunge wengine tusingeshangaa maana wengi hawajui hali halisi ya Tunduma.ile sio wewe.

Ulietoka Dar na nauli tu kila kitu kuhusu maisha yako kikaanzia Tunduma.

Tunachosubiri WanaTunduma na Watanzania kwa ujumla ni mikakati ya pamoja kati Tanzania na Zambia ili shughuli ziendelee kama kawaida.

Kilichopo sasa ni kwamba serikali ya Zambia haina imani kabisa na Mtanzania yoyote yule kila wanaemwona wanahisi ana Corona.

Jaribu kuwa kiongozi mwenye maono, nchi zetu hizi maskini tunategemeana sana hatuwezi kukomoana ana akapatikana mshindi...

Ulisema unataka kukua kisiasa ila sasa naona unashuka viwango kwa kasi badala ya kupanda....
Poti umeongea kwa hisia sana Kama huyu bwanamdogo anapitia humu basi ana wajibu wa kuwaomba radhi wanatunduma kupitia ushauri huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.

Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!

Hiyo haitoshi angependekeza wawapige marufuku kupitishia mizigo yao Dar. Kwa nini wanakataa Corona kutoka kwetu? Mbona sisi hatuna pressure na Corona kutoka kwao?

Hii haukubaliki wasipite kabisa huku.

Kwanza Corona yenyewe ni kaupepo tu.
 
Hiyo haitoshi angependekeza wawapige marufuku kupitishia mizigo yao Dar. Kwa nini wanakataa Corona kutoka kwetu? Mbona sisi hatuna pressure na Corona kutoka kwao?

Hii haukubaliki wasipite kabisa huku.

Kwanza Corona yenyewe ni kaupepo tu.
Tanzania kuna Corona kuliko Nchi zote za ukanda huu wa Africa mashariki wana haki ya kukataa kupelekewa corona kizembe zembe kwani Serikali ya CCM imeachia watu wakae vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani waambukizane kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu, mataifa Jirani wanajua kuwa Tanzania wanataka watu wafe kwa wingi iwe ni kafara ya CCM kuendelea kukaa madarakani kisha iwanunue wapinzani wote ivuruge mfumo wa vyama vingi kwa kusajili vyama vingine vingi kama congo kisha wanavichonganisha wakati vikigombana wao wanachanja mbuga
 
Tanzania kuna Corona kuliko Nchi zote za ukanda huu wa Africa mashariki wana haki ya kukataa kupelekewa corona kizembe zembe kwani Serikali ya CCM imeachia watu wakae vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani waambukizane kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu, mataifa Jirani wanajua kuwa Tanzania wanataka watu wafe kwa wingi iwe ni kafara ya CCM kuendelea kukaa madarakani kisha iwanunue wapinzani wote ivuruge mfumo wa vyama vingi kwa kusajili vyama vingine vingi kama congo kisha wanavichonganisha wakati vikigombana wao wanachanja mbuga

Ipo haja ya kuwakomalia hawa jamaa na hasa hasa jiwe huyo ndiyo mwenye lake jambo.

Siamini anauungwaji wowote mkono kwenye hili CCM wala serikalini.

Walioko wako kimya kulinda matumbo yao tu.
 
Acha mawazo mgando,so wa Tz hatuna kazi na bandari ama mpaka nikuchanganulie kila kitu.

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
Kwa hiyo Bandari ikiwa inapokea tumizigo twa ndani kwako wewe ni sawa tu.

Acha kuiaibisha avatar ya jf
 
Watatumia ya Luanda Angola

Sent using Jamii Forums mobile app
Zambia kwa sasa hutumia Bandari ya Dsm kwa 25% tu na kikubwa ni mafuta ya magari na magari yenyewe ambayo siyo meng sana kama zamani, na Pia husafirisha Copier kiasi hasa ile inayokwenda bara la Asia kupitia bahari ya hindi ,lakini bidhaa kutoka America yote hutumia Bandari ya Angola, Namibia, msumbiji na South Africa hasa magari mengi hupitia sauti Africa , sasa waneanza kuchukua mafuta msumbiji na endapo Bunge litaendelea kuwasiliza wabunge vilaza watahamishia huko kila kitu tutabakia kufanya biashara zingine za kawaida mipakani kama tulivyokuwa na kenya
 
soma hapa mwenyewe uone uongo wako

Mozambique: Armed groups attack two lorries on main roads
Armed groups on Friday attacked two lorries in central Mozambique following raids since August in the area, but this time without causing deaths or injuries, civilian sources and authorities told Lusa.


A tanker that left the port of Beira for Malawi was shot several times on National Road 6, the country’s main road corridor.


In a video that circulated on social media, the driver of the lorry warned of the danger: “It is ugly here, I have just been attacked as I approach Inchope,” a town where the EN6 and EN1 cross.


In this video, the driver shows the perforated tanker at various points and fuel gushing into the road, and local sources have told Lusa that it has already continued its journey after containing the spill.


On another main road, the EN1, on the Inchope – Muxungue section, a goods lorry was shot at as it was heading from the junction to the hinterland.


Both occurrences occurred within the boundaries of Gondola District, Manica Province.


The attacks in the region have killed ten people since August and intensified after the general and provincial elections on 15 October in which the ruling party, the Liberation Front of Mozambique (Frelimo), recorded overwhelming victories.


The police blame the attacks on guerrillas of the opposition Mozambican National Resistance (Renamo) without making a distinction between the party’s armed wing and a group of dissidents led by Mariano Nhongo, who resigned from Ossufo Momade’s leadership in June and threatened to destabilise the region.


Renamo has responded to the police by denying any relationship between the armed men under its command – because they are complying with the disarmament agreement, he said – and the attacks, calling on the police to arrest those responsible.


“If the Defence and Security Forces are unable to defeat this group (from Mariano Nhongo’s self-proclaimed Renamo Military Junta), then do not blame Renamo for the attacks,” José Manteigas told Lusa, insisting that Renamo is committed to the peace agreement and has acted in good faith to preserve it.


The same kind of violence in that region happened in 2015, in the post-election period, when Afonso Dhlakama (former leader of Renamo) rejected Frelimo’s victory but denied involvement in the clashes.
Mozambique: Armed groups attack two lorries on main roads
source:
Bado huna hoja zaidi ya kuandika upuuzi. Hebu mwabie yule king wa mafichoni apige marufuku Zambia kupitisha mizigo yao bandari ya Dar ili tuone watakavyokufa njaa.
 
Acha mawazo mgando,so wa Tz hatuna kazi na bandari ama mpaka nikuchanganulie kila kitu.

CCM OYEE!MISIMAMO DAIMA
Zambia kwa ukanda huu ndiye mteja mkubwa wa Bandari ya Dsm akifuatiwa na Malawi Burundi na Congo, wengine Uganda Rwanda hupitisha bidhaa kiasi na zile nyingi hupitishia Bandari ya mombasa kenya.
 
Bado huna hoja zaidi ya kuandika upuuzi. Hebu mwabie yule king wa mafichoni apige marufuku Zambia kupitisha mizigo yao bandari ya Dar ili tuone watakavyokufa njaa.
Waasi wa Renamo hawana nguvu nawapo mbali na njia ya kutoka Bandari ya Beira kwenda Zambia, na hao waasi wapo kwenye misitu ya Jiran na Tanzania
 
Aliyekuwa Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.

Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.

Chanzo: Star tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Mnavyojifanya machizi kama hamjui huo usajili wenu wa manunuzi kama kawaida
kifupi CHADEMA ni chama cha kutetea watu wa nje sio watanzania.Pitia nyuzi zote hadi matamko ya viongozi kwenye issue yeyote inayohusu Tanzania na nchi zingine CHADEMA Mara zote husimama upande wa hizo nchi zingine Kukiwa na issue yeyote kati ya Tanzania na nchi zingine

Watanzania tuna haki ya kukipiga chini hata kuiba kura kikishinda sababu ni chama cha foreigners watetea foreigners

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Silinde ni aina ya wabunge vilaza hajui hata Ramani ya zambia hajui kuwa zambia imezungukwa na Bandari nyingi, hatambui kuwa sasa Ndege za mizigo za Urusi zimeimarishwa sana kiasi cha kutishia meli za mizigo Duniani.
 
Sikujua kuwa jamaa ni sifuri kiasi hicho bora wamefurusha akawe Mbunge wa Spika kuliko kuwa na mtu wa hivyo
Silinde ni mbumbumbu kilaza ni mbunge juha kabsa hana anachojua zaidi ya unafiki
 
Silinde analeta za maamuzi ya "ukichaa kichaa" ule ambao Mafichoni King anaupenda. Hapo anatumaini Mafichoni King anamuona na anaweza kumkumbuka hata uDC iwapo atashindwa kurudi Bungeni. Ila asisahau huyo Mafichoni King anaweza akaishia muhula 1.
 
Back
Top Bottom