Mhe. David Silinde,
Mwaka 2020 ulijivua Uanachama ukiwa bungeni nakisha kuhamia chama kingine nakuendelea na ubunge kinyume na Sheria huku ukijuwa kabisa ni kosa kisheria.
Nguvu ya dola ikatumika kukuweka jimbo ambalo si lako,huku ukiwasaliti wanachama wako waliokupokea ukitokea chuoni.
Ninasikitika kusikia umemsimamisha mwl bila kufuata taratibu za utumishi wa Umma.Nakuona kama mtu wakujipendekeza nakujiona wewe ni bora kuliko jamii, hutendi haki.
Mwaka 2020 ulijivua Uanachama ukiwa bungeni nakisha kuhamia chama kingine nakuendelea na ubunge kinyume na Sheria huku ukijuwa kabisa ni kosa kisheria.
Nguvu ya dola ikatumika kukuweka jimbo ambalo si lako,huku ukiwasaliti wanachama wako waliokupokea ukitokea chuoni.
Ninasikitika kusikia umemsimamisha mwl bila kufuata taratibu za utumishi wa Umma.Nakuona kama mtu wakujipendekeza nakujiona wewe ni bora kuliko jamii, hutendi haki.