Davido achangisha hela kwa wasanii aliowasaidia kutoka, Focalist katoa, Diamond bado hajatoa hela

Davido achangisha hela kwa wasanii aliowasaidia kutoka, Focalist katoa, Diamond bado hajatoa hela

Mashabiki wa domokaya wataanza kumnanga Davido soon, huwa hawachelewi. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina kupitia Instagram story yake akiwemo msanii Diamond Platnumz na msanii Focalist.

Wasanii mbalimbali wamejitokeza kwa wingi na kumchangia kwa wingi hadi kufikia kiasi cha $500,000 ndani ya masaa 24 wengi wakitoa kati ya Naira million 1 hadi naira million 5.

Msanii Focalist wa South Africa baada ya kutajwa pamoja na DIAMONDPLATNUMZ alituma chap chap naira million 1 kwa davido, ila msanii diamondplatnumz hadi tunaenda mitamboni alikuwa bado hajatuma, au labda alituma hela ndogo maana davido haposti wanaotuma kiasi chini ya Naira million 1.
View attachment 2015806View attachment 2015807View attachment 2015808View attachment 2015809
Katoe wew
 
Katika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina kupitia Instagram story yake akiwemo msanii Diamond Platnumz na msanii Focalist.

Wasanii mbalimbali wamejitokeza kwa wingi na kumchangia kwa wingi hadi kufikia kiasi cha $500,000 ndani ya masaa 24 wengi wakitoa kati ya Naira million 1 hadi naira million 5.

Msanii Focalist wa South Africa baada ya kutajwa pamoja na DIAMONDPLATNUMZ alituma chap chap naira million 1 kwa davido, ila msanii diamondplatnumz hadi tunaenda mitamboni alikuwa bado hajatuma, au labda alituma hela ndogo maana davido haposti wanaotuma kiasi chini ya Naira million 1.
View attachment 2015806View attachment 2015807View attachment 2015808View attachment 2015809
Uzi uchwara wee toa mpk muwakilishe Mond
 
Domo aliinuliwa na bob junio. Davido alimsaidia tu kumpaisha kimataifa ila bongo tayari alishakua maarufu
Kuna watu hawaelewi kitu, kazi yao ni kuropoka tu.Yani mtu yupo serious anasema Mond hakuwa na umaarufu wowote kabla ya kufanya collabo ma Davido😅.

Mleta mada ni Robidinyo katoka I'd nyingine maana huu ujinga unaenda nae.
 
😂😂😂😂😂😂
Kuna watu hawaelewi kitu, kazi yao ni kuropoka tu.Yani mtu yupo serious anasema Mond hakuwa na umaarufu wowote kabla ya kufanya collabo ma Davido😅.

Mleta mada ni Robidinyo katoka I'd nyingine maana huu ujinga unaenda nae.
 
Diamond atachangia mwishoni kabisa..msiwe na haraka
Mbona Focalist katajwa pamoja nae katuma naira million moja, alafu davido kamuita Focalist Dubai anakula nae bata. Yani mondi anaonekan lofa kweli sasahv. Wasanii wa naijeria wanamchukia tangu alipojirekodi video na kudai yeye ana pesa kuliko wanamziki wa naijeria. Hadi Burnaboy kaungana na harmonize kumtukana.
 
Huyo bob junior yeye mwenyewe kashindwa kujiinua. Basi kama ni kweli basi awainue kina Diamond wengine. Diamond kainuliwa na davido na huo ndiyo ukweli.

una akili kisoda sana mkuu.
 
Back
Top Bottom