Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Itakuwa tozo ilikatwa. Au hiyo hela kailia unga wananzengo wanasema [emoji3][emoji3]
Jana amedondoshewa kitu kizito mnoo.Dimondi alipe fadhila asije akaishia kwenye mihadharati 🐒
Katoe wewKatika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina kupitia Instagram story yake akiwemo msanii Diamond Platnumz na msanii Focalist.
Wasanii mbalimbali wamejitokeza kwa wingi na kumchangia kwa wingi hadi kufikia kiasi cha $500,000 ndani ya masaa 24 wengi wakitoa kati ya Naira million 1 hadi naira million 5.
Msanii Focalist wa South Africa baada ya kutajwa pamoja na DIAMONDPLATNUMZ alituma chap chap naira million 1 kwa davido, ila msanii diamondplatnumz hadi tunaenda mitamboni alikuwa bado hajatuma, au labda alituma hela ndogo maana davido haposti wanaotuma kiasi chini ya Naira million 1.
View attachment 2015806View attachment 2015807View attachment 2015808View attachment 2015809
Uzi uchwara wee toa mpk muwakilishe MondKatika kusherehekea birthday yake msanii davido katoa challenge kwa wasanii na makampuni mbalimbali aliowasaidia ku push nyimbo na brand zao kuwa maarufu Nigeria na Africa, akiwataja kwa majina kupitia Instagram story yake akiwemo msanii Diamond Platnumz na msanii Focalist.
Wasanii mbalimbali wamejitokeza kwa wingi na kumchangia kwa wingi hadi kufikia kiasi cha $500,000 ndani ya masaa 24 wengi wakitoa kati ya Naira million 1 hadi naira million 5.
Msanii Focalist wa South Africa baada ya kutajwa pamoja na DIAMONDPLATNUMZ alituma chap chap naira million 1 kwa davido, ila msanii diamondplatnumz hadi tunaenda mitamboni alikuwa bado hajatuma, au labda alituma hela ndogo maana davido haposti wanaotuma kiasi chini ya Naira million 1.
View attachment 2015806View attachment 2015807View attachment 2015808View attachment 2015809
Umeiona video mpya ya Joh Makini na Nandy ?Diamond hizo hela apeleke kwa Bob junior, ndo kamwunua from zero to hero, bila Bob junior Diamond angekuwa rapa Kama weusi wa arachuga.
Watu mnapiga ikuluAmeshindwa kumsaidia Mzee Abdul, ndio akamsaidie Bob Junior??
Kuna watu hawaelewi kitu, kazi yao ni kuropoka tu.Yani mtu yupo serious anasema Mond hakuwa na umaarufu wowote kabla ya kufanya collabo ma Davido😅.Domo aliinuliwa na bob junio. Davido alimsaidia tu kumpaisha kimataifa ila bongo tayari alishakua maarufu
WAAFRIKA WAPUMBAVU SANA
Mbona Focalist katajwa pamoja nae katuma naira million moja, alafu davido kamuita Focalist Dubai anakula nae bata. Yani mondi anaonekan lofa kweli sasahv. Wasanii wa naijeria wanamchukia tangu alipojirekodi video na kudai yeye ana pesa kuliko wanamziki wa naijeria. Hadi Burnaboy kaungana na harmonize kumtukana.Diamond atachangia mwishoni kabisa..msiwe na haraka
Ameshindwa kumsaidia Mzee Abdul, ndio akamsaidie Bob Junior??
Huyo bob junior yeye mwenyewe kashindwa kujiinua. Basi kama ni kweli basi awainue kina Diamond wengine. Diamond kainuliwa na davido na huo ndiyo ukweli.
Bila davido kutia vesi Kwa namba wani mondi angebakia kuwa mbeba pochi wa wemasepetu tu huo ndo ukweli.
Dimondi alipe fadhila asije akaishia kwenye mihadharati [emoji205]