Davido ampiga chini Meneja wake, ataki tena kwenda international

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Mwanamuzi Davido amempiga chini Manager wake wa Siku nyingi Kamal Ajiboye na kuamua kujisimamia mwenyewe.

Kupitia Snap chaty Davido alitoa taarifa hizo tangu asaini dili ya bilioni 4 na Sony music Davido amekuwa na changamoto nyingi kwenye music na akionekana ni mtu alie na frustration katika kazi zake za music, Davido anasema hataki tena habari za kwenda international.

Kamal ndiye amekuwa akimsaidia Davido kwenye issue zote za kimataifa ikiwemo kumtafutia collabo yake na Meek Mill. Pia ndiye aliyekuwa akizungumza na Sallam, kipindi Diamond anataka kumshirikisha kwenye remix ya Number One.


 
sasa aanze kuimba skelewuu na aye again!!
(my ngbedu is final wizbaby baba NLA...)
vilugha vyao vinawapendezaga Sana!
davido alibugi kujifanya mpopamerca...

arudi soko LA Africa sasa.
tutampokea tena.
 
Hivi lile collabo la Davido na Kingkiba linatoka lini?
 
Yule wa Bongo anaona aibu kusema ukweli kuhusu Sony,ila ukweli maji ni ya shingo,amebaki kuweka ratiba hewa ya kwenda kuwapigia wabongo wenzake S.A.
 
Bado kwa king wetu maana nae maji shingoni

Yule wa Bongo anaona aibu kusema ukweli kuhusu Sony,ila ukweli maji ni ya shingo,amebaki kuweka ratiba hewa ya kwenda kuwapigia wabongo wenzake S.A.

Kiba Anajifia na tai yake shingoni.
Hivi nyie mna akili nzuri?Hapa anaongelewa Davido na Meneja wake...mambo ya mkataba wa Sony yanatoka wapi?
Au huyo meneja wake ndio Sony yenyewe?
 
Alichotakiwa ni kuvunja mkataba na sony na sio huyo meneja wake..
 
Bado kwa king wetu maana nae maji shingoni
Nakuona unavyojitekenya na kucheka mwenyewe.

Kwa akili ya kawaida tu hapo Unadhani mwenye matatizo ni Sony au huyo Meneja wake aliemfukuza?!
 
Nakuona unavyojitekenya na kucheka mwenyewe.

Kwa akili ya kawaida tu hapo Unadhani mwenye matatizo ni Sony au huyo Meneja wake aliemfukuza?!
Hawa majirani zetu wana akili za visoda broh...
Davido kavunja mkataba na meneja wao wanaleta habari za Sony.

Ujue huu mkabata unawauma sana?Hata shemeji yako alitokwa povu sana kipindi kile [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…