Davido amzawadia mpenzi wake Chioma, gari yenye thamani ya zaidi ya milioni 280 za kitanzania

Davido amzawadia mpenzi wake Chioma, gari yenye thamani ya zaidi ya milioni 280 za kitanzania

Kwann umezibadili kuja kwenye TSH? kwan Davido kanunua gari huku au?
Fanya kuiweka katika Nigerian Shillng....
Hili ndio tatizo la kujidai mjuaji, aliyekwambia nigeria hela yao inaitwa shilingi ni nani?
 
Hawa ndio wanaopandisha bei ya papuchi hawa, milioni 280 zote hizo za nini?
 
Ndiyo maana kuna nyanya masalo za mafungu na nyanya za supamaketi nyekundu mwalumwalu!


Mkuu Supermarket hata utumbo wa kuku unauzwa, usidanganyike na vioo
 
Back
Top Bottom