Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 7,781
- 6,966
bro/sis wewe unaendesha gari gani??? gari ya TZS200m dunia nzima sio gari ya kawaida msipende kudanganya watu..... gari za kawaida hata huko us/uk/canada ni dollar 10-30,000
Nina baiskeli phonex. Pia RRONDO nani muongo kati yangu mimi na wewe! Umeenda nchi gani umekuta gari ni dola 10?
Mimi sijamdanganya mtu yeyote nimetoa mtazamo wangu tuu,na mtazamo huu umekuja sababu Davido ni msanii anayesemekana ana hela nyingi na ni wa kimataifa. Nimejaribu tuu kuangalia hilo na kulinganisha na wasanii wetu hapa bongo na Afrika mashariki kwenye issue ya umiliki wa vyombo vya usafiri.
