lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Weka na gharama ya kusafirisha na kodi utaona inafika million 200,000,000 tzsh
Kuisafirisha mpaka Nigeria ni $1200 ushuru Nigeria unatozwa chini ya Tz haiwezi fika bei hiyo kwa gari ilo ata kidogo...Tatizo letu watu wengi tukinunua kitu kwa Tsh 10 unataka jamii ijue umenunua kwa Tsh 100..wahindi na Wachina wakinunua kitu kwa Tsh 100 wanajishusha na kutaka jamii ijue wamenunua kwa Tsh 10...Gari ilo kwa Tsh 200,000,000/ Si kweli..






