Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Wa negeria n wajanja sn pitia account ya yemi alade yeye kapost bendera ya Kenya hii inaitwa mind games
Kwani aliwakosea nini huyu Chibu?
Nakupendaje sasa!LOoh nilitaka kuchanganyikiwa sio kwa vichambo vile, mi ata achambe vipi nampigia kura davido, ndo nshasema
wacha game iendelee...we are playing along.Wa negeria n wajanja sn pitia account ya yemi alade yeye kapost bendera ya Kenya hii inaitwa mind games
Hahahahaha naomba Dinazarde akusome vizuri. Ulishapita page ya idris na davido huko IG??? Pitamo. Ila idris amechambwa hadi amekimbia na kufuta post
Hii ni Baada ya washabiki Wa mwanamuziki diamond platnumz kusambaza uongo kwamba msaanii Wa Nigeria davido hajapendezwa na mchango Wa kura kutoka Tanzania. Pia msanii huyu ameonesha mapenzi kwa Tanzania kwa kuposti bendera ya tz na kuweka ishara ya upendo.
Mimi ninashauri kila mtu afanye kile akipendacho. Kama unaona moyo wako unakutuma kumuunga mkono diamond Fanya hivyo. Na kama unaona davido ndio anakufaa Fanya hivyo. Si vyema kupangiana maisha chini ya mwavuli Wa uzalendo.
Kamuacha wema na pia kamchukua mganda badala ya mtz hivo roho za wanawake wa kitz zinauma....Kwani aliwakosea nini huyu Chibu?
Watanzania !! Em acha kujumuisha watu walio timamu upstairs.
Katambua mchango wa makahaba..
Kamuacha wema na pia kamchukua mganda badala ya mtz hivo roho za wanawake wa kitz zinauma....
nanukuu kuna dada mmoja insta anaitwa siahkhamis kaandika "kwanini atuache sisi watanzania akachukue mwanamke mganda"
ushauri kwa kwa davido akija kupiga mti mmoja wapo huku tz(mheshimiwa wema) atapendwa zaidi ya hapa