Davido atambua mchango wa Tanzania

Davido atambua mchango wa Tanzania

mkatae mkubali huo ni ufoolish..

Eshy mushi kama nakuwa foolish KwaZulu kuexpress my love kwa yule ninayemfeel well and good. Lazima mheshimu maamuzi ya wenzenu hata kama yanawaumiza. Kwanini watanzania hampendi utofauti?? Bila kutofautiana hakuna maendeleo na jamii isiyo na tofauti haijawahi kutokea (as per Carl max). Huoni sasa dai anajitahidi coz anajua kuna wapinzani, kiba nae the same....kutofautiana ni kawaida
 
Yaani na mie nimeona, cha hao mabosi wakutukana wa wema sasa uwiiii si waandike kiswahili tu kama akina sie wajivunie lugha yao aaaagggh

Ila mie bado nakaza buti kuna yule mwanamke mwarabu pia kamepiga piga picha na wema hadi Mwanza anahusika sana na udogi pia.
huyo alopostiwa na who is the boss ndio dougie kweli?
 
Eshy mushi kama nakuwa foolish KwaZulu kuexpress my love kwa yule ninayemfeel well and good. Lazima mheshimu maamuzi ya wenzenu hata kama yanawaumiza. Kwanini watanzania hampendi utofauti?? Bila kutofautiana hakuna maendeleo na jamii isiyo na tofauti haijawahi kutokea (as per Carl max). Huoni sasa dai anajitahidi coz anajua kuna wapinzani, kiba nae the same....kutofautiana ni kawaida

all is well, diamond apate tuzo au asipate but he is still the best... na siku akifa ndo mtajua mchango wake kwenye bongo flavor..
 
huyo alopostiwa na who is the boss ndio dougie kweli?

Huyo alishasemwagwa zamani wakakana sana sana na ilikuwa lemutuz kama kawa alikazania na wakamtukana sana kujibu. Ila dogi wa sasa anajua anajulikana tayari.

Mie nakumbuka enzi namsomaga alisemaga kitu ...yeye mwarabu wa singida/sinyanga sijui nini...

Wakati wema anaenda mwz few wks ago, kuna mtu akacomment asubuhi yake mahala sikumbuki wapi kuwa wema anaenda mwz na dogi.

Ok later picha kwa wema na wengine waliposti only acc ya janety ikatoa picha zenye mwarabu wema hakurusha hizo kabisa hata wanaedai ni janety...sijui kama janety bado anazo...kwa idris aliwarusha wema na wengine pia.

Wanaodai ni janety wanaomrusha kila kona hii picha walipiga bday ya wema

1434815737912.jpg


Hizi za walipoenda mwz early May.

1434815772371.jpg

1434815864961.jpg


Hawa wawili hawa chini mmmhhhh

1434815792822.jpg

Na idriss

1434815824911.jpg



Picha toka instagram public acc
 
Hivi ikatokea let say Diamond akabeba hizo tuzo za MTv base hawa watanzania team ushuzi watajificha wapi?
 
Hahahaha mmeanza kuomba poooo!

Wewe unaona ni mashindano haya au upuuzi uliopitiliza. Mimi siku zote uwa nasema Kiba hana mashabiki ila ana haters wa Diamond inabidi amuheshimu sana Dai. Ona sasa leo wamekuwa mashabiki wa Davido. Tafuteni maisha amshangai kwa nini supporters wakubwa wa Dai ni watu na maisha yao.
 
Wewe unaona ni mashindano haya au upuuzi uliopitiliza. Mimi siku zote uwa nasema Kiba hana mashabiki ila ana haters wa Diamond inabidi amuheshimu sana Dai. Ona sasa leo wamekuwa mashabiki wa Davido. Tafuteni maisha amshangai kwa nini supporters wakubwa wa Dai ni watu na maisha yao.

Think big Comrade matumbo , Kiba ni legend wa mziki wa bongo flavor, Dai kamkuta Kiba tayari ana fanbase kubwa tena ile die hard fans, ndiomana itaona mpaka leo Kiba bado kasimama, mbali na ukimya wake wa muda mrefu lakini still mashabiki wa Kiba wameendelea kuwa naye, Tuzo za watu na Kill ni fundisho tosha kuwa kuna watu wengine hapa nchini ni untouchable, ni sawa na Juma Nature mbali na ukimya wake lakini tayari fanbase yake ni kubwa kuliko,
 
Last edited by a moderator:
Huyo alishasemwagwa zamani wakakana sana sana na ilikuwa lemutuz kama kawa alikazania na wakamtukana sana kujibu. Ila dogi wa sasa anajua anajulikana tayari.

Mie nakumbuka enzi namsomaga alisemaga kitu ...yeye mwarabu wa singida/sinyanga sijui nini...

Wakati wema anaenda mwz few wks ago, kuna mtu akacomment asubuhi yake mahala sikumbuki wapi kuwa wema anaenda mwz na dogi.

Ok later picha kwa wema na wengine waliposti only acc ya janety ikatoa picha zenye mwarabu wema hakurusha hizo kabisa hata wanaedai ni janety...sijui kama janety bado anazo...kwa idris aliwarusha wema na wengine pia.

Wanaodai ni janety wanaomrusha kila kona hii picha walipiga bday ya wema

View attachment 262079


Hizi za walipoenda mwz early May.

View attachment 262080

View attachment 262086


Hawa wawili hawa chini mmmhhhh

View attachment 262081

Na idriss

View attachment 262084



Picha toka instagram public acc

Hahaha huyu dougiemasta ni loud speaker ya Wema neno lake ni neno la Wema. Wema akishakula unga wake anamtext tu tukana Zari leo.

Ila atashughulikiwa kwa sasa sio good timing, na Wema hii itamcost sana sana na yule mjinga wa kariakoo aliojiingiza kwenye huu ujinga kichwa kichwa.
 
Back
Top Bottom