Davido atambua mchango wa Tanzania

Boko haram watuchukue?

Umenichekesha hao wanaojigonga wataingia mkenge hao watapaishwa na ma ungo usiku waende huko na mizigo wameshapaki sababu wanajua Davido habari ingine watasubiria milangoni ya vyumba vya hoteli kwa foleni akija TZ hadi anaondoka watakuwa bado wamepanga foleni ambayo haitasogea hata kidunchu.
 


woyoooooooooooooooooooooooooooyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Kiba hayupo inshaallah kheir mwakani atakuwepo kwa mapenzi ya allah. Kashaanza na hizi sita za KTMA mwanzo mzuri.
Sasa huyu mungu atatusikia kweli kama tunafanya chuki kwa wale aliowajaalia ??????????
 
Sasa huyu mungu atatusikia kweli kama tunafanya chuki kwa wale aliowajaalia ??????????

hahaha nimeipenda hii na wengine SIO wote wameaga na kusema wanafunga na kufanya ibada ila wataendelea kumpigia kura davido hukohuko kweli Mungu anatushangaa
 
Wanaijeria ni wajanja sn pitia account ya yemi alade yeye kapost bendera ya Kenya hii inaitwa mind games.

amefanya collabo na Wakenya P Unit inayofanya vizuri sana so hakuna kosa hapo!! amejitangaza Kenya na Wakenya wamemkubali hata P unit pia wamejitangaza Nigeria. so ni kawaida tuu!
 
Kwani aliwakosea nini huyu Chibu?

Kosa lake ni pale mrembo alipotingisha kiberiti akamfungulia mlango. Kumbe demu alikuwa kamind sana. Ndio akaunda timu yenye wafuasi wengi akina dada mashangingi ya mjini na michicha miba yote inamsapoti mrembo.

Ni hilo tu mambo ya mapenzi.
 
Sasa huyu mungu atatusikia kweli kama tunafanya chuki kwa wale aliowajaalia ??????????

Dhumuni la hizo awards ni nini? Kumpigia kura msanii ambaye unapenda mziki wake? Au kupiga kura tuu ilmradi hata kama msanii hakufurahishi kisa katokea nchi kwenu?

Acheni upimbi. Mimi hakuna wa kunilazimisha kumpigia kura NDOMO nimejitambua na nitampigia kura msanii ambaye mimi binafsi namfeel.

Kama ni uzalendo nishaufanya kwa Vee money tayari nshampigia kuanzia kura hadi NYETO.
 

hahahahha

cc Chinga One Kimbley mzurimie
 
Last edited by a moderator:
Kosa lake ni pale mrembo alipotingisha kiberiti akamfungulia mlango. Kumbe demu alikuwa kamind sana. Ndio akaunda timu yenye wafuasi wengi akina dada mashangingi ya mjini na michicha miba yote inamsapoti mrembo.

Ni hilo tu mambo ya mapenzi.

haahahhah...maumivu ya kuachwa...Ni mapenzi tu...demu anaumia sana
 
 

Malaya mkubwa wewe kaungane na mamako wema. .mfanye umalaya mpaka mfe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…