Na mtavote saaaaaaaaaana hadi kwa chris
brown kwenye grammy awards huku chibu
dangote huyoooooo anazidi tu kupaa anga...
Jana ametoka kushoot video aliyoshirikishwa
hukooo South ambapo kichupa kinatoka wiki hii...
Kasha kwea pippa yupo Mozambique sahivi
kaenda kushoot video nyingine hahaha..
tarehe 3 huyooooo anaanza tour ya mtvmama
awards, atakuwa na show ya kibabe saaaaaana
pale naija huku mnalinda tembo hahahahaha
walahi mtapanick mwaka huu
Mkumbuke tu akimaliza tour ya africa, mwezi wa
tisa anaenda marekani kwaajili ya video shoot na
mmanyema wa mbele yaaaani tunazo ngoma
zenye video tayari yakufanya tuwatapishe kilasiku
kwa miaka mitatu mfululizo na bado tunafanya
yetu... team dangote
oyoooooooooooooooooooooooooooo
oooooooooooooooooooooooooooooo
oooooooooooooooooooooooooooooo
oooooooooooooooooooooooooooo
Mkumbuke tu Taifa lishamtambua kuwa icon
tunasubiri muamze kumtumia kwenye noti
hahaha kama hampendi gademu kufwa for mr.
president dr. chibu dangote, Na unapozungumzia
tanzania unaongelea Mt. kilimanjaro na Diamond
platnumz ,..
taifastars mpira tushakalishwa vitatu sifuri jana, sa sijui mnataka atuwakilishe kibakuli ambae hata hawamtambui kama mwanamuziki, kwa miaka zaidi ya kumi mpaka leo anaota aje kupata hta nomination ya upcoming artist wakati mwenzake ndio among the most argued top five artists in the continent hahahahahaha