Jimondogwe
Member
- Jun 8, 2015
- 38
- 17
Baada ya Maneno ya chini kwa chin kutoka kwa baadh ya watu kwamb hawa watu hawaiv Chungu kimoja...Kupitia Interview mbali mbali Diamond amekua akisema hana ugomvi na Davido mkali kutoka Nigeria amedhbitisha hlo kwa Kupost picha yake na Diamond kupitia Account yake ya Facebook na kusema ni jambo jema kuperfom tena jukwaa Moja na mkali huyo kutoka Tanzania katika tuzo za MTV!
Big up kwao #CHIBU #DAVIDO
Big up kwao #CHIBU #DAVIDO