Heaven andaa malimao kabisa, wakija wakute juicy.
nimegundua kwamb hz bifu za Wasanii huletwa na Mashabiki
hahahahahaaaa!!!tena mwambie HoE achanganye na jiki kabisa kwenye hiyo juisi ya malimao ili wakinywa akili iwakae vema
Wale wanaotukana matusi hadi kwa kiswahili kwenye Insta account ya DavidoGood for them...
Aibu kwa kina nanihiino
Davido hana akili ukwaju kama za Dimond na mashabiki wake low class,wale jamaaa noma kweli yani...wanadhani Davido ana akili kama MFALME wao asiye na pa kuishi
Kumbe Davido anatoka Niger??.. ama kweli kua uyaone!
Wale wanaotukana matusi hadi kwa kiswahili kwenye Insta account ya Davido
Davido hana akili ukwaju kama za Dimond na mashabiki wake low class,
Ndio maana aliwajibu my mama she is rest in heaven. Jitie wazimu kujifanya umesahau.
Mamaaaaaaaa!!!mwaka wetu huu jamaniiiiii!!mpaka nimekosa cha kusema mimiiii.....ngoja nikavote fastaaa
Aweke na pilipili kichaa na ka kiroba ka 700. Hawana gharama wale,wazée wa gambe. Hahahahahahaha.
Davido hana akili ukwaju kama za Dimond na mashabiki wake low class,
Dimond=Diamond!
hahahahhahaha...High class haihitaji kujikwamua sana na kuongea saaaaaannnnaaaa
High class inaonekana kwa vitu unavyomiliki
Sasa huyo MFALME wenu asiye hata na makazi ya kuishi..........
Hahahahah....Ndio high class huyo?
Kijana Diamond anamiliki demu mkali East and Central Africa,Anamiliki Nyumba kumi,Anaishi kwenye mjumba mkali kule Madale....Hebu niambie high class Mfalme anamiliki nini zaidi ya pichu yake na ya demu wake?
hahahahahaaaa!!!tena mwambie HoE achanganye na jiki kabisa kwenye hiyo juisi ya malimao ili wakinywa akili iwakae vema
Mimi siwezi kukaa kupamba asset au demu wa mwanamume mwenzangu mwenye mboro kama mimi huo ni uhanithi.
My point nimemquote Heaven on earth kwamba mashabiki wa Diamond wamemtukana sana Davido na amewapuuza hiyo ndio point yangu.
Wewe inaonekana ni mzaramo kushinda kibarazani kushindania utajili wa wengine eti kati ya Shabiby na Abood nani tajili na mwenye mabasi mengi? Ujinga huu.
Only simple mind ndio wanaweza kufanya biashara hii ya kipumbavu, who is Ally Kiba kwenye maisha yangu?
Think big and. change ur mind set, kushabikia ukwasi wa mwanaume mwenzio hapa mjini utajikuta unapigwa boro hivihivi.
Diamond = Domo
mbona wamchokoza Mpwa wangu asubuhi yote hii lolhahahahhahaha...High class haihitaji kujikwamua sana na kuongea saaaaaannnnaaaa
High class inaonekana kwa vitu unavyomiliki
Sasa huyo MFALME wenu asiye hata na makazi ya kuishi..........
Hahahahah....Ndio high class huyo?
Kijana Diamond anamiliki demu mkali East and Central Africa,Anamiliki Nyumba kumi,Anaishi kwenye mjumba mkali kule Madale....Hebu niambie high class Mfalme anamiliki nini zaidi ya pichu yake na ya demu wake?
Mpwa mbona magazeti asubuhi asubuhii..
Keep calm.... Relax mpwa wangu