hahaaaaaaaaaaaaaa juicy itawapaliaje kwikwiiii, maana walisimamioa kidete hilo swala
Domo=Rais wa Wasafi!
Mpwa mbona magazeti asubuhi asubuhii..
Keep calm.... Relax mpwa wangu
hhhhahaahahahahahah...Acha tumwone High Class Matola akituelezea U high class wake...huyu si alimwibia hela baba wa kambo huyu?
Mimi siwezi kukaa kupamba asset au demu wa mwanamume mwenzangu mwenye mboro kama mimi huo ni uhanithi.
My point nimemquote Heaven on earth kwamba mashabiki wa Diamond wamemtukana sana Davido na amewapuuza hiyo ndio point yangu.
Wewe inaonekana ni mzaramo kushinda kibarazani kushindania utajili wa wengine eti kati ya Shabiby na Abood nani tajili na mwenye mabasi mengi? Ujinga huu.
Only simple mind ndio wanaweza kufanya biashara hii ya kipumbavu, who is Ally Kiba kwenye maisha yangu?
Think big and. change ur mind set, kushabikia ukwasi wa mwanaume mwenzio hapa mjini utajikuta unapigwa boro hivihivi.
Umetoka kukata viuno kutangaza mali za wanaume wenzanko sasa unaclaim kumfahamu Annonymous? Wonders shall never end.
Go and seek for brain check up, inawezekana unaanza kudata hujielewi.
Huyu mal................ hajapata mtu wa kumtatua mishono kama alivyokuwa anatatuliwa na CHIBU ndo mana haishi kuweweseka kaona Davido kampotezea kaamia kwa Jose chamelionMpenda sifa kama kawaa!ameona hazungumziwi sasa hivi amekuja na hili
Huyu mal................ hajapata mtu wa kumtatua mishono kama alivyokuwa anatatuliwa na CHIBU ndo mana haishi kuweweseka kaona Davido kampotezea kaamia kwa Jose chamelion
Mpwa Heaven on Earth uwe na siku njema naona hapa kuna kula kulala anatafuta company ya jobless mwenza wa kupoteza naye muda, am chassing the money now.
Adios.
Watch "Kcee - Love Boat (Official Video) ft. Diamond Pla " on YouTube - Kcee - Love Boat (Official Video) ft. Diamond Pla : https://youtu.be/-RBywChlfdc
hata hivyo davido ameshirikishwa nyimbo nyingi sana lakini hakuna iliyowahi kubamba kama ile kwa Africa so anaelewa mwenyewe mchango wa dogo kwake..
jaribu hata kucheki some shows alizoapload youtube yake, umetumia sana background sound ya my #1 kuliko nyimbo zake, lastly show iliyobamba zaidi last year ni performance ya my #1 jins watu walivyokuwa wanafurahia hatariii ""Dsquare""
https://m.youtube.com/watch?v=lSpJlvEVIqg
⬆⬆⬆⬆⬆
huyu mtu ni danger daaah bonge moja la compilation, light if hater akiiona anaweza akazimia....
Sina tatizo na Diamond hanijui na wala simjuhi na naheshimu sana mtu aliyetoka familia duni akitusuwa maisha, tatizo ni wapumbavu wengine ambao hawataki tuwapende tunaowapenda.
Kama ni swala la muziki nasikiliza nyimbo za Diamond na hata kama nipo club kama nina mood ya kucheza ninacheza ikipigwa nyimbo yake. Na nina nyimbo za Diamond nazipenda sana tu huyu ni kijana wetu.
Ila mimi ni fan wa Kiba si kwamba sikubali Diamond ni msanii mzuri, nadhani tunatofautiana hapo na wanaodhani Bongo fleva ni Diamond tu kama wanavyotaka wao.
Naamini hata wewe unacheketuwa tu hapo weekend hii maana ndio nyimbo ya Taifa.
Nimefungua hiyo link youtube aisee watu wanashangilia mpaka mwili unasisimka, nikasoma na comments hivi kumbe hivi vibifu uchwara vimeanza siku nyingi eeh? Since nimeanza kumfahamu diamond nilikuwa namfatilia yeye kama yeye na muziki wake, I didn't mind any damn around him, kiasi kwamba sikuwahi ku notice kama kuna akina H baba wanamletea vibifu. Duuh