Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!


Hongera sana nawe umeanzisha thread.
 
Davido na Diamond wote washamba tu!! Msanii hautakiwi kupost ujinga ujinga kwenye social media,social media ni kwa ajili ya kutangaza kazi tu na si ujinga ujinga.
 

Alafu bwana Matola ina maana davido haruhusiwi kuandika maoni yake (yawe kipostive au kinegative, au kiutani) juu ya shindano la Africa kisa tu watz watajihisi? Guys tukue kiupeo kwa kifupi Kama hujatajwa jina au nchi (kwa context hii) huna haja ya kujistukia. Ni yale ya uswazi taarabu inapigwa kistarehe nyumba ya pili inaanzisha mtiti.
 
Last edited by a moderator:
Yaani tunaonekana wapumbavu... kutukana kiswahili utadhani anaelewa... sijui https://jamii.app/JFUserGuide your mother na mama ake keshafariki....

Huyo Choka kumbe ndio tabia yake
Choka kimeo huyo,,yaani mi huwa namuona kama kubwa jinga afu kujifanya anajua sasa kumbe kimeo.
 
Nchi yetu imeshafeli kama Taifa na mtu mmojammoja hata Membe kwenye sakata la meno ya Tembo amelihutubia bunge kwamba wazungu wanatuonea "gere".

Hivyo usiwashangae wale wa vibundle vya promosheni vya mb50 kumponda Davido without know how.

Naomba nikusahihishe...tanzania ni weak state ila haijafeli. Somalia ndio tayari ilishafeli. Tz isipokuwa makini inaweza kufeli siku si nyingi
 
na mi simo kwa wapumbavu km wamezaliwa vichochoroni wasio na shukrani wenye mitusi km wanakharamu

Yani ni sheeedah. Huko mtaani inabidi muwe makini unaweza shangaa siku sura yako iko humu au mitandaoni inajadiliwa kwa matusi
 

wewe dada nakupendaga una notisi nzuri sana
 
Last edited by a moderator:
Yani ni sheeedah. Huko mtaani inabidi muwe makini unaweza shangaa siku sura yako iko humu au mitandaoni inajadiliwa kwa matusi

yaani kabisa umelelewa ukaleleka unamtukana mtu hunijui sikujui...?!!!
ni mehenzi tuuu ndo anafanya hivyo
 

Yani siku tususiwe na ngololo yetu ndo tutapata akili. Nyimbo za diamond kibao zilikuwepo why ile collabo na davido ndo ishinde tuzo kibaoooo nje ya Tz??? Watu watumie common sense ili mwisho wajue kuweka heshima kwa waliowainua (Mungu pamoja na wanadamu).

Ni aibu Sana mijitu Kama Monica (anayeaminika kipanga hapa mjini) eti nae alijibu hii movement. Nimempuuza bureeee
 

Ww unamtetea Davido saana !! Wakati ujui tabia zake
Alishawahi kutweet ujinga kuhusu weezy kid
After CHOAMVA akasema "kuna watu wanafurahia ushindi lakini awakustahili"
After BBA akatweet "N they cheat again 🙈lol "
Mukamtetea na munaendelea kumtetea !!

Sasa kapost tena " Tayo kazawadiwa Pesa nyingi na billionare wa kinaija ambazo ni pesa nyingi kuliko Pesa alizoshinda Idris "

Hivi unapataje nguvu ya kumtetea Mtu kama uyo ?
Penden vya kwenu na mtetee vinavyowahusu .
Davido alimaanisha alichoandika🚶🚶🚶🚶
 

Attachments

  • 1418125294051.jpg
    41.7 KB · Views: 170

Nyimbo iliyoshinda tuzo ni my number one original version sio remix aliyoimba na Davido
 

Davido hajamsaidia Diamond.. Wamesaidiana, Davido through that remix imeongeza soko lake La East Africa. Ndio maana unamwona hata huyo Davido alienda South kwa Mafikizolo. Sio kwamba he is bigger its just strategy ya kuongeza soko. Wizkid is way better than Davido lakini hujiulizi why davido anapata show Africa zaidi ya Wizkid?? Yeye kafanya colabo kila pande ya Africa
 
Nyimbo iliyoshinda tuzo ni my number one original version sio remix aliyoimba na Davido

Anyways davido ametubeba tuoende tusipende. Kuna watu wa Nigeria Ghana n.k waliojua hiyo number one original kupitia ile collabo... Okay hata kama sio hiyo domo alichojibu hakioneshi ukomavu... Shukrani hata kwa kidogo
 
Anyways davido ametubeba tuoende tusipende. Kuna watu wa Nigeria Ghana n.k waliojua hiyo number one original kupitia ile collabo... Okay hata kama sio hiyo domo alichojibu hakioneshi ukomavu... Shukrani hata kwa kidogo

Dimondi amekuwa karibu na huyo Davido na anamjua kuliko sisi tunavyomjua.. Yawezekana anadeserve kujibiwa hivo, who knows?? Kaonesha chuki na dharau ya wazi kwa Watanzania kwanini tumchekee?? Lakini pia si busara kumtukana, watu wangemu ignore tu
 

Kamsaidia sana penye ukweli tuseme hata nchi nyingine wakiulizwa diamond mpaka wam refer yule aliyeimba na Davido ndo imemsaidia sana akajulikana almost Africa nzima kwenye collabo lazima tu appreciate collaboration yao imewasaidia wote hasa hasa kwa daimond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…