Mnapataga wapi muda wa kufuatilia upuuzi?
It's almost the same... YES, Davido didn't say WE cheated BUT Big did and if that is so, it means Idris didn't deserve to win coz' it's the result of CHEATING... na hawa ukifuatilia maoni ya Naijas, unakuta ndicho hasa wanachomaanisha!sentence ya davido ukiichek vizuri ni tata..kuna kitu hakijakamilika ili kuondoa utata huo so its okay kwa baadh ya watu kutafsri watavyotafsiri...mie naona alikuwa anamlaumu big kuhusu shindano na mshindi alivyopatikana anahisi kuna dalil za udanganyifu
bado mtoto jamani tumuache tu
Hana cha utoto wala nini kwani anavaa pampasi kukosa tuzo kumemvuruga eeh na bado
Na alivyokuwa na mimbwembwe na lile bichwa lazima aumie lol
Jamani mbona nimesikia hio they have cheated again alikuwa anamjibu diamond na sio alikuwa anaandika kuhusu big brother?
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda
Welcome back home
Ukitaka kujua alikuwa serious au lah aungalia maongezi yao! hata Mimi nilifikiri hivyo! Diamond kanifurahisha kwa statement yake ya kijasiri baada ya kuchukua tunzo nyingine kwao
It's almost the same... YES, Davido didn't say WE cheated BUT Big did and if that is so, it means Idris didn't deserve to win coz' it's the result of CHEATING... na hawa ukifuatilia maoni ya Naijas, unakuta ndicho hasa wanachomaanisha!
Hata hivyo, Diamond hakutakiwa kujibu the way alivyojibu coz' it's like amejishtukia! Kama aliona ni lazima kujibu kwa staili ya vijembe basi alitakiwa kujibu:"Omg, They have Cheated again....!"
It's almost the same... YES, Davido didn't say WE cheated BUT Big did and if that is so, it means Idris didn't deserve to win coz' it's the result of CHEATING... na hawa ukifuatilia maoni ya Naijas, unakuta ndicho hasa wanachomaanisha!
Hata hivyo, Diamond hakutakiwa kujibu the way alivyojibu coz' it's like amejishtukia! Kama aliona ni lazima kujibu kwa staili ya vijembe basi alitakiwa kujibu:"Omg, They have Cheated again....!"
It's almost the same... YES, Davido didn't say WE cheated BUT Big did and if that is so, it means Idris didn't deserve to win coz' it's the result of CHEATING... na hawa ukifuatilia maoni ya Naijas, unakuta ndicho hasa wanachomaanisha!
Hata hivyo, Diamond hakutakiwa kujibu the way alivyojibu coz' it's like amejishtukia! Kama aliona ni lazima kujibu kwa staili ya vijembe basi alitakiwa kujibu:"Omg, They have Cheated again....!"
Hilo la "again" nimeliona na in fact, ndicho alichomaanisha Davido kwamba ni another cheating! Hata hivyo, kwavile Davido amesema "They Cheated.." kuonesha kwamba walio-cheat ni ChO na BBA (kwa maana wanawahujumu wa-Naija), basi good answer ilikuwa ni "They Cheated Again..." kuonesha kwamba, ikiwa ushindi wa Idris, and probably Chibu umetokana na wa-South Africa (ChO & BBA) ku-cheat ili kuwahujumu wa-Naija, what about ushindi wa jana wa Chibu uliotolewa na wa-Naija wenyewe... Did they cheat so as to sabotage their fellow Naijas or?!vile vile alivojibu diamond ni sawa...jamaa kasema " again " maana yake kuna pahala palichitiwa kabla
Ila i don think kama Davido was serious,kwenye tweet yake kuna ka icon ka kuonea Aibu anachokisema....i believe he wasn't serious
Suala la kiki umelitoa wapi? Badala ya kuja na jazba jaribu kutumia logic....kama hivyo ndivyo why iwe Diamond amemjibu Davido na isiwe kua amemjibu Biggie!???basi na Chibu pia kamjibu Biggie na sio Davido so tusianze sijui kiki oooh upuuzi gani!
SIPENDI KABISA MGENI ANAKUJA KWETU ANAANZA KULETA DHARAU,...MMBAAV!
mapungufu yetu tutanyooshana wenyewe ndani,sio kile kibushuti kinakuja kututusi eti si tume cheat...maana yake we are good for nothing..hata kupiga kura hatuwezi!???nyau sana yule dogo Davido!
Sijui kingaringwe vzr ila jana hiyo hiyo ndan ya nigeria kulikuwa na tunzo zingine ambazo diamond ameshinda so nilichomuelewa mm diamond anamjibu davido kuwa kama vile za ch o na bba wamedanganya na hii ya nigeria kupewa yeye tunzo wamedanganya pia,huku south hatukustahili je na huku kwenu pia waongo?mwisho wa cku muandishi ndiye anaejua alichokusudia wasomaje wataunganisha atakavyoelewa yeye au hisia zake zitakavyomtumaSuala la kiki umelitoa wapi? Badala ya kuja na jazba jaribu kutumia logic....
Davido anasema "They Cheated....!" which means matokeo yamekuwa tampered! Sasa kwa uelewa wako ni nani anayeweza ku-temper matokeo kati ya Watanzania/Chibu/Idris na ChO/BBA?
Kwa jinsi ilivyo, Wa-Nigeria wanaona ni kama wanahujumiwa na waandaaji wa SA kama njia ya kuwashusha! Is like hapa TZ baadhi ya watu wanapoilaumu Clouds kwamba inawahujumu baadhi ya wasanii! Na huo ndio mtazamo wa Nigeria wengi baada ya kutoka tuzo za Channel O... wanaamini kuna njama za kuwashusha na ndio maana hata ukiangalia wac
hangiaji wa Davido, wanatupa mashuti yao kwa BBA!!!
Kutokana na hilo, ndio maana nikasema jibu muafaka kwao lilikuwa "They Cheated again....!"Kuonesha kwamba ikiwa ushindi wa Chibu na Idris umetokana na ChO na BBA kuwahujumu wa-Naija, what about tuzo zilizotolewa na Wa-Nigeria wenyewe? Ina maana na wao wame-cheat kkuwahujumu wa-Naija wenzao or what?
Kuhusu what if Chibu nae kamjibu Biggie the answer is NO coz' Chibu amesema "We've Cheated Again...!" kwahiyo kama kudanganya ni sisi tumedanganya lakini hata akili za kawaida hazioneshi ni namna gani tunaweza kudanganya wakati kura zinakuwa monitored na wengine! Jibu la Chibu lingekuwa sahihi endapo yeye angekuwa ndio ama Biggie au ChO huku ikimaanisha, kwamba ikiwa "We Cheated...!" what about hiyo Nigeria..."We Cheated, right!"