Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Sijui ndio huo?fanya kunitumia kwanza huo..lol
Ujue hua sifuatilii ngoma zake kihivyo ila huo 'mmoja' ndio niliupenda.

Wala usijali zitakuja za kutosha tu. Dogo anajua sana, Davido huwa anaumwa akisikia huyo dogo anaachia ngoma, kama hapa Bongo Ali Kiba anavyomtia njaa dogo.
Ova
 
Wala usijali zitakuja za kutosha tu. Dogo anajua sana, Davido huwa anaumwa akisikia huyo dogo anaachia ngoma, kama hapa Bongo Ali Kiba anavyomtia njaa dogo.
Ova

Hahahaaaaa,unataka kuleta balaa hapa si unawaona akina chinga?
 
Watu wa Dar mnadharau sana watu wa mikoani. Wakati mnashindia kula miguu na utumbo wa kuku.
 
Wamemtukana zari haijatosha,wamehamia kwa davido!!

Asilimia 99 ya watanganyika wanaotumia Instagram ni mamburula na masenge!!

Hapana cha maana huko mtandaoni.

usemayo ni kweli kuna watu mishamba sana hata humu jf ipo kidogo tuuu
mitusi hiyooo mi mtu yeyote anaharakia kutukana namdharau sana
 
usemayo ni kweli kuna watu mishamba sana hata humu jf ipo kidogo tuuu
mitusi hiyooo mi mtu yeyote anaharakia kutukana namdharau sana

Nilitumia IG kwa mwezi mmoja tu, lakini ikanishinda. Tatizo kuna ushamba mwingi na kubabaikia mno majina ya watu kiasi kwamba hata akiongea au kufanya upuuzi wanamuunga mkono tu. Halafu kinachonikera zaidi ni kukifanya kuwa ni kijiwe cha matusi.
Ova
 
Watu wa Dar mnadharau sana watu wa mikoani. Wakati mnashindia kula miguu na utumbo wa kuku.

Songea kuna raha na maisha mazuri kupita Dar

Hizi ni dalili za kuchanganyikiwa, JF inasomwa Dunia nzima pimbi wewe.

BOAT ipo Dar, Ikulu ipo Dar, Simba na Yanga zipo Dar, Diamond na Kiba wanaishi Dar na hata mbunge wako wa Songea yupo Dar.
 
Songea ipi hiyo kaka yenye maisha mazuri kuliko Dar? Au ulikuwa unamaanisha nini? Pengine sijaelewa maana uliyoikusudia kuhusu maisha mazuri.
Ova

Huku Songea watu wana pesa, Majumba ya kifahari, magari ya kifahari, hakuna joto, hakuna foleni za kijinga, huku watu hawali miguu na utumbo wa kuku kama dar, yani ni bata tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…