Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
tz ndo maana hatuendelei wivu;chuki,vijicho,husdaa vimetujaaa.wenzetu linapokuja suala la taifa kwa ujumla zile chuki zao binafsi huziweka kando na kuangalia utaifa kwanza...ndo maana kila siku watazidi kuwa juu ss mkiani kwa kila kitu...