room
Member
- Dec 28, 2015
- 61
- 102
Ni miezi 9 sasa tangu asaini mkataba na Sony Music lakini Davido hajatoa wimbo mpya.
Mashabiki wamechoka kusubiri, yeye mwenyewe amepagawa na mambo yamekuwa si mambo tena!
Kulikuwa na mipango ya kuachia kazi mpya Ijumaa hii, September 9, lakini imeahirishwa tena na staa huyo uvumilivu umemshinda.
Tetesi kutoka Nigeria zinadai kuwa Davido hana furaha tena na uongozi wa label yake. Na sasa ameamua kuonesha masikitiko yake kwenye snapchat yake
Chanzo: Bongo5
Mashabiki wamechoka kusubiri, yeye mwenyewe amepagawa na mambo yamekuwa si mambo tena!
Kulikuwa na mipango ya kuachia kazi mpya Ijumaa hii, September 9, lakini imeahirishwa tena na staa huyo uvumilivu umemshinda.
Tetesi kutoka Nigeria zinadai kuwa Davido hana furaha tena na uongozi wa label yake. Na sasa ameamua kuonesha masikitiko yake kwenye snapchat yake
Chanzo: Bongo5