Uchaguzi 2020 Davis Mosha: Mchagueni Magufuli nitawapa Bodaboda 500 hata Kama hamkunichagua 2015

Uchaguzi 2020 Davis Mosha: Mchagueni Magufuli nitawapa Bodaboda 500 hata Kama hamkunichagua 2015

Aweke mafuta gani kwenye bodaboda, yeye mwenyewe hata kulipa wafanyakazi wake inamuwia shida ndio itakuwa kununua bodaboda? Namjua vizuri huyo tapeli, wafanyakazi wake wanalalamika kuwa anawashushia mishahara na hata kuwalipa inakuwa tabu. Halafu anakwenda kusaka sifa nyepesi kwenye kampeni za ccm! Shubamit.
Acha maneno machafu ya kuchafuana bwashee.
 
Back
Top Bottom