NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Nyinyi ndo maji mtaita mma,Karia na Kidau wanawaangalia tu mnavyo puyanga.Maji mtaita mma awamu hii
Yanga hawana shida na mwamedi mwenyrkiti anajitengenezea uzio wa kumlinda.GMS janja janja imekuwa nyingiUtopo FC mmempania Mwamedi sio Mnyama...
Mwamedi tuache na Simba yetu..
Juu yao alipaswa kuwepo manji ,ubingwa asubuhi tu,sasa hivi hawa wanaenda kumlinda mwenyekiti dhidi ya mgeni GMS ambaye kapewa lift anapiga na honi.yangu kuna mtunishiana misuli kati chair na tajiti mwajiri wa manara.muda utaongeaSeif Magari
Abdallah bin Kleib
David Mosha
Kamati tendaji 😂😂😂😂🙌🙌🙌🤔
Zama hizi za mama hawana lolote,magu kuna mtu alikua anamdanganya,mama anaelewa kila kitu na ndio maana miamba yote inarudi na tena cha kufurahisha inarudi ikiwa na hasira kwa yaliyowatokeaNyinyi ndo maji mtaita mma,Karia na Kidau wanawaangalia tu mnavyo puyanga.
Hakuna kitu kama hicho mkuuJuu yao alipaswa kuwepo manji ,ubingwa asubuhi tu,sasa hivi hawa wanaenda kumlinda mwenyekiti dhidi ya mgeni GMS ambaye kapewa lift anapiga na honi.yangu kuna mtunishiana misuli kati chair na tajiti mwajiri wa manara.muda utaongea
Mtani unahakika unachosema lakini?,ngoja tuone kama ni kweli ligi inaanza soon tutaona kama ni kweli.Zama hizi za mama hawana lolote,magu kuna mtu alikua anamdanganya,mama anaelewa kila kitu na ndio maana miamba yote inarudi na tena cha kufurahisha inarudi ikiwa na hasira kwa yaliyowatokea
Seif Magari
Abdallah bin Kleib
David Mosha
Kamati tendaji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji848]
Kuna game zetu nyingi za Yanga ligi kuu huwa zinachezewa sana, basi dawa yao tumepaita
Magori na pope mpk leo wanazitumia hizoNaona mtani mmeamua kurudi enzi zilee za “mpira nnje ya uwanja” Bahati mbaya sana mbinu hizo zimekuwa za kizamani.
Wewe jamaa na mashaka na uyanga wakoJuu yao alipaswa kuwepo manji ,ubingwa asubuhi tu,sasa hivi hawa wanaenda kumlinda mwenyekiti dhidi ya mgeni GMS ambaye kapewa lift anapiga na honi.yangu kuna mtunishiana misuli kati chair na tajiti mwajiri wa manara.muda utaongea
Tusifikie huko bro,avatar yako aikisi unayomquote mkuu hapaJinsia yangu inakuhusu nini? Btw Wanaume wa kizenji mbona ni laini kama chapati za kumimina[emoji3][emoji3][emoji3]
Tusifikie huko bro,avatar yako aikisi unayomquote mkuu hapa
Sasa kama wana roho mbaya mbona juzi hawakuweza kumzuia Kelvin Kapumbu asiwapige utopolo?Hao jamaa wameteuliwa kwenye kamati ya mashindano au ukipenda unaweza kuuita kamati ya roho mbaya,makolo mkae kwa kutulia
View attachment 1919742
Mimi na mwananchi ila naona kuna mambo hayako sawa pale klabuni,GSM anafanya biashara tu.baada ya kusaidia TEAM.Mwaka NNE tunajenga TEAM.Wewe jamaa na mashaka na uyanga wako
Gsm ana mwaka wa ngapi?Mimi na mwananchi ila naona kuna mambo hayako sawa pale klabuni,GSM anafanya biashara tu.baada ya kusaidia TEAM.Mwaka NNE tunajenga TEAM.
Tatu,Gsm ana mwaka wa ngapi?