Heri ya mwaka mpya. naomba kujuzwa ni dawa gani/mimea ya asili naweza tumia kutibu meno yangu yanayouma? meno hayajatoboka ila yanauma kwa ndani. msaada plz
Kila siku Asubuhi kabla ya kunywa kitu jaribu Ukinge Mkojo wako kisha usukutuwe mdomoni kama dakika 5 kisha tema huo mkojo wako fanya hivyo kwa muda wa siku 3 kisha njoo hapa unipe feedback.@lukme
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.