Dawa gani inafaa hawa kuku wa mayai?

Dawa gani inafaa hawa kuku wa mayai?

Johnson json

Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
29
Reaction score
38
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.

Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha dawaa ambayo naweza tatua hili tatizoo kwenye ufugajii wangu maana umekuwa kikwazoo kikubwaa sanaa.
 
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.

Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha dawaa ambayo naweza tatua hili tatizoo kwenye ufugajii wangu maana umekuwa kikwazoo kikubwaa sanaa.
Mkuu umetumia dawa ipi na ipi?
Ukitaja dawa ni rahisi sisi kutoa ushauri wa dawa ipi utumie
 
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.

Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha dawaa ambayo naweza tatua hili tatizoo kwenye ufugajii wangu maana umekuwa kikwazoo kikubwaa sanaa.
Swali gumu....bila kusema umetumia dawa ipi na ipi unatoa mitihan kwa wataalamu! Jitahidi utaje majina ya dawa....na kingine dawa inaweza kuwa sahihi kabisa ila ulizingatia "dose"?....ulipimaje hio dawa kwa uwiano upi wa maji? Maana ss wafugaji hua tunakomaa kupima dawa na vipimo vya mazoea( aghalabu vijiko) na kuhisi tuko sawa, kwa hali hii tutalaumu saana madaktari na kampuni za dawa.
 
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.

Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha dawaa ambayo naweza tatua hili tatizoo kwenye ufugajii wangu maana umekuwa kikwazoo kikubwaa sanaa.
Njoo Ujibu Maswali, Ili Wataalam Waone Namna Nyingine Ya Kutoa Ushauri
 
Nina kuku wa mayai zaidii ya 800+.. lakini Kwa Sasa wanashambuliwa na ugonjwaa wakuharaa kinyesi cha njano na cheupee nimetumia dawa za kutosha, ushaurii kutoka Kwa wataalamu lakin wapii sijaona mabadili.

Nimekuja hapa jukwaani naomba msaada Kwa yeyote mwenye njia nyingne mbadalaa namaansha dawaa ambayo naweza tatua hili tatizoo kwenye ufugajii wangu maana umekuwa kikwazoo kikubwaa sanaa.
Uliwapiga chanjo ya typhoid
 
Back
Top Bottom