Habari?
Kifaranga wangu ana wiki ya tatu sasa hivi. Wiki ya kwanza ndiyo niligundua kuwa haoni baada ya kula, kunywa maji na kutembea kwa hisia(yaani anabahatisha kila anachokifanya).
Hajawahi kuwa na ugonjwa wa macho tangu ametotolewa.
Mwenye kujua dawa humu anisaidie kwasababu dawa za matone nimetumia lakini hakuna matokeo kabisa
Kifaranga wangu ana wiki ya tatu sasa hivi. Wiki ya kwanza ndiyo niligundua kuwa haoni baada ya kula, kunywa maji na kutembea kwa hisia(yaani anabahatisha kila anachokifanya).
Hajawahi kuwa na ugonjwa wa macho tangu ametotolewa.
Mwenye kujua dawa humu anisaidie kwasababu dawa za matone nimetumia lakini hakuna matokeo kabisa