Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu,
Nilikuwa nauliza Kwa mtu mwenye bawasiri na hataki kufanya oparesheni ya kukata maana nasikia wanafanyaga hivo wengine.
Dawa asili au zozote za kumeza au kupaka ili kupona huu ugonjwa wakuu, naomba kufahamu.
Ni bawasiri ya nje.
Nilikuwa nauliza Kwa mtu mwenye bawasiri na hataki kufanya oparesheni ya kukata maana nasikia wanafanyaga hivo wengine.
Dawa asili au zozote za kumeza au kupaka ili kupona huu ugonjwa wakuu, naomba kufahamu.
Ni bawasiri ya nje.