Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Wakuu salaaam,
Naona malaria utaniulia bint yangu (2.5yrs), naomba msaada wa jina la dawa au brand ambayo nanaweza fanya furmigation katika nyumba nzima na maeneo ya kipenyo cha mita 50 ili niokoe hali ya familia yangu. Na pia kama una kampuni ama unafaham tu wapi wanatoa hiyo huduma nitafurah sana kupata,makazi yangu ni Nyamanoro mwanza
Naona malaria utaniulia bint yangu (2.5yrs), naomba msaada wa jina la dawa au brand ambayo nanaweza fanya furmigation katika nyumba nzima na maeneo ya kipenyo cha mita 50 ili niokoe hali ya familia yangu. Na pia kama una kampuni ama unafaham tu wapi wanatoa hiyo huduma nitafurah sana kupata,makazi yangu ni Nyamanoro mwanza