Dawa hau chakula kinachoweza kumwongezea mgonjwa CD4

pakaywatek

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
4,660
Reaction score
6,282
kuna Mgonjwa anaeishi na maabukizi inasemekana aligundulika mapema akashauriwa atumie dawa baadae alipoona ananguvu akaacha bila ushauri wa doctor sasa amezidiwa na tumempeleka hospital naona katundikiwa drip tu, sasa kama kuna mtaalam anisaidie kama kuna mtu anajua chochote kinachoweza kumpandishia cd4 ani pm make ziko chini sana.
 

Mkuu kwanza tambua kuwa huyo mgonjwa wako alikosea sana
kukatiza dozi (anaweka hali ya usugu kwa vimsela vinavyomtafuna)

Pia inabidi kujua kiwango cha CD4 zake mwilini mpaka sasa (hiyo kazi ya dr. hapo hosp)

Pia kwa upande wa vitu vya kupandisha CD4 kwa vitu vya asili ni kama kunywa
juice ya ubuyu, juice ya karoti, juice ya ukwaju, kula mayai ya kware, mboga za majani
kwa wingi .
Kwa sasa naishia hapo , ila pole sana kwa maswahibu yanayokusibu mkuu.
 

Upo mkoa gani? Kuna dawa flani naona inasaidia wengi naweza kukuelekeza umchukulie
 
Upo mkoa gani? Kuna dawa flani naona inasaidia wengi naweza kukuelekeza umchukulie

nipo dar ila sasa ivi niko mbeya nitarudi jumanne kwahiyo kama unafahamu nielekeze kwa hapa mbeya hau kama ni dar pia nielekeze nimtume mtu akachukue.
 

Asante,ila sazingine unaweza shindwa kumuelewa mtu,sijui alikua na maana gani kuacha kuendelea na dawa ingawa sasa amna namna inabidi tufanye jitiada za kumsaidia ila nashukuru sana nitazingatia uliyoyasema.
 

Akisha toka Hospitali ukitaka Dawa ya kumponyesha huo ugonjwa wake awe HIV Negative mimi Dawa ninayo unaweza kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 


Duuh 49? kuna product moja niliiona imetengenezwa kwa kutumia Colostrum,nasikia inasaidia kuboost levels za CD4 cells

Ngoja nifuatilie jina lake utaenda kuitafuta pharmacy yoyote kubwa
 
Duuh 49? kuna product moja niliiona imetengenezwa kwa kutumia Colostrum,nasikia inasaidia kuboost levels za CD4 cells

Ngoja nifuatilie jina lake utaenda kuitafuta pharmacy yoyote kubwa

Asante ntashukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…