Dawa hizi zina athari gani mwilini

Bandabichi

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
230
Reaction score
42
Kuna hizi dawa/vidonge, VITA CAP NA STROM-50.

Je hizi mtu akitumia zinaweza kushusha presha na mgojwa kuishiwa nguvu.

Sababu kila akizitumia ndo anakuwa hivyo ni sababu ya hizi dawa ama kuna kingine.
 
Huyo mgonjwa aende kwa daktari amwambie.Inawezekana ni side effects ya hizo dawa.Kama kuna dawa mbadala anaweza akabadilishiwa.
 
Dawa inayoshusha presha kutoka hizo ni strom-50(tramadol),hiyo nyengine ni multivitamin and minerals.
 
Kwa uelewa wangu Strom-50 (tramadol) ni dawa inayotumika kutibia maumivu makali kama vile baada ya kupasuliwa. Moja ya side effects zake ni kushusha msukumo wa damu (blood pressure). Na hiyo nyingine ni vitamins kama ilivyoelezwa. Ningeshauri urudi kwa daktari wako kwa uchunguzi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…