Dawa inayodaiwa kutibu UKIMWI yagundulika nchini Israel

Status
Not open for further replies.
Nawasuse, ingia kwene mtandao wa The times of Israel comments za watu dhid ya wenechuk na wayahud utacheka dhiid ya ugunduz huu .coz info hii niliiona January mwaka huu kwenye page hiyo
 
Ata kama wanatengeneza kwa kutumia nyama ya nguruwe akuna mtu ataacha kunywa ikija wengine watasilimu kabisa kama ni kweli hii dawa imepatikana aliyegundua nitamtafuta kote nimpe tunzo ya heshima ili liungonjwa limeniulia watu muhimu sana
 
Sijazungumza nani anapaswa kupata ukimwi! Wewe ni Mzinzi?
Acha utoto huo!!! Mkuuu uliposema eti wazinzi wanajiandaa kufanya sherehe!! Kwa viumbe wenye upeo mdogo ndio walikuwa na mawazo hayo miaka ile!! Ila kwa sasa wana mitazamo tofauti na ile ya awali!! Japo asilimia kubwa unaenezwa kwa njia hiyo ila huwezi ukahitimisha kwa kauli hiyo!!
 
Wewe unadhani ikitangazwa rasmi dawa ya ukimwi imepatikana ni nani watafanya sherehe Kama sio Wazinzi?
Sasa tena unakubari kuwa kwa asilimia kubwa ukimwi unaenezwa kwa njia ya uzinzi, but nikisema wazinzi watafanya sherehe unaumia, kwa lipi?
Unatumia nguvu nyingi utadhani upo jukwaa la siasa!
 
Kwanini hii dawa imetangazwa baada ta Trump kumualika ikulu rais wa Palestina
 
thubutuuuu, kwenye kikombe cha babu wa Loliondo mbona walienda!!!!! Tena hii hapa wataitumia sana tu labda siyo VVU
 
Taarifa kama hizo sio mara ya kwanza kuandikwa, lakini kinachokuwa tatizo ni kwamba katka ulimwengu wa sayansi ya majaribio ya dawa zinazohusu binadamu kuna stages nyingi sana mpaka dunia nzima ijidhihirishe ukweli au uhalisia wa ugunduzi huo, clinical trials ni tofauti na tafiti zingine za kawaida... Imaweza chukua hata miaka kumi ijayo mpaka jopo la wataalamu wa mambo ya tiba wakubali au wakatae ugunduzi huo
 
Mkuu wamesema itaanza tumika baada ya mwaka mmoja Ngoja tuone huwenda miujiza ikatokea hatuwezi jua.
 
Bora tufaidi nyama kwa nyama! Wakati mwingine makaratasi yanapunguza nguvu. Unakuta Athumani kichwa wazi yuko ngangali ile ukivaa tu makaratasi kalegea! Na ukifanikiwa kupiga moja ndio ataki tena karatasi unakuwa umetoa mwekundu wa msimbazi wa bure tu.
 
mkuu umesema ukweli mtupu
 
Porojo za namna hii nimeanza kuzisikia miaka 20 iliyopita
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…