Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Sawa! Grisi kawaida hulainisha vyuma!Naona kuna vijana wengi sana wanakwenda kwa waganga ama kwa wamasai kutafuta dawa za mapenzi, Vijana wala msipoteze mda, hii dawa ukiwa nayo utakua na mvuto hata kama ni sura ngumuππ
View attachment 682467
jithaminihiyo kwa mwanaume, kwa mwanamke utoe nini?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji109]Naona kuna vijana wengi sana wanakwenda kwa waganga ama kwa wamasai kutafuta dawa za mapenzi, Vijana wala msipoteze mda, hii dawa ukiwa nayo utakua na mvuto hata kama ni sura ngumuππ
View attachment 682467
hiyo kwa mwanaume, kwa mwanamke utoe nini?
Naona kuna vijana wengi sana wanakwenda kwa waganga ama kwa wamasai kutafuta dawa za mapenzi, Vijana wala msipoteze mda, hii dawa ukiwa nayo utakua na mvuto hata kama ni sura ngumuππ
View attachment 682467
Sema kingine boya wewe [emoji41][emoji41]
Kwa mwanamke dawa ni yeye mwenyewe.hiyo kwa mwanaume, kwa mwanamke utoe nini?
HakikaYeah, mwanaume pesa, vingine vyote vinajileta