Dawa inayoleta mvuto wa kimapenzi hii hapa

Dawa inayoleta mvuto wa kimapenzi hii hapa

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Naona kuna vijana wengi sana wanakwenda kwa waganga ama kwa wamasai kutafuta dawa za mapenzi, Vijana wala msipoteze mda, hii dawa ukiwa nayo utakua na mvuto hata kama ni sura ngumu🙂🙂

tanzania_dar_es_salaam4.jpg
 
Dah!!
Hivi Huyo jamaa alikuwa analipa nini!?
Au ndo alikuwa ana honga!?
 
Hilo dole gumba ni fungus tupu lkn watu wanacheki mkwanja tu

Pesa ni pesa afya ni mtaji ukihsribu afya na fedha inapotea
 
Dawa[emoji36], kuipata sasa [emoji36][emoji36][emoji36]
 
Mmepokea vi casual payment vyenu mnaanza kupost post hapa, hizo kila mtu aki hustle anazipata tuu wanawake wa maana wanaangalia Character
 
Back
Top Bottom