Peace92
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 261
- 57
Habari wana jamvi, mimi ni mama nimejifungua kwa upasuaji jumatatu ya tarehe 5 mwezi huu wa 5. Baada ya upasuaj niliruhusiwa kurudi nyumbani lakni naona kidonda kinatoa majimaji upande wa kulia pamoja na damu kidogo.
Juzi na jana nilirudi hospital wakanisafisha tu na leo hali ni ile ile, ndugu zangu nauliza je kuna dawa ya kufanya majimaji au kidonda kikauke haraka?
Asanten jaman nipo mikoa ya nyanda za kusini.
Juzi na jana nilirudi hospital wakanisafisha tu na leo hali ni ile ile, ndugu zangu nauliza je kuna dawa ya kufanya majimaji au kidonda kikauke haraka?
Asanten jaman nipo mikoa ya nyanda za kusini.