Peace92 njoo uwaambie madaktari umbile lako na ujumuike kuwaeleza jinsi operation ilivyofanyika ili upate msaada mzuri na utakao kufaa.
Inspector: inategemea na umbile la mama yawezekana ni mnene so ana mafuta mengi mazoezi ni tiba nzuri pia na aina ya upasuaji aliofanyiwa kama ni ya mlalo na ye ni mnene basi lazima itafunikwa na tumbo kidonda kinakuwaje wazi??
Pole sana mamie pia hongera,jitahidi kidonda kisipate joto,mm nilipona ndani ya wiki,nilikiacha wazi kwa muda mrefu,na ukishaoga paka asali yako,tulia,utaona matokeo