LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
heshima kwenu wakuu??
Mim nimekuwa member mzuri sana kwa kufuatiria thread za wadau hapa jamvini na kila coment wachangiazo wadau humu ASALI lazima itahusika. Kiukweli walio wengi hugaramikia maelfu kuweka security systerm na hata yale makampuni ya ulinzi kwaajili ya kuwalinda na vibaka ,wadokozi,wezi,majangiri na majambazi na kumsahau mlinzi huyu malidadi ASALI.
Sasa mlinzi kinga na tiba ya maladhi mbalimbali na hata yale sugu na wale wenye matatizo ya nguvu za kiume pateni kinga,tiba kwa bei nafuu. Ipo asali mbichi ya nyuki wakubwa naiuza kwa lita sh 10,000 tu kwa reja reja na sh 8000 kwa jumla.
Hata ukihitaji yenye masega yake ambayo haija kamuliwa nayo ipo. Mim napatikana mwenge dar es salaam kwa mawasiliano zaidi 0717 228064.
Mim nimekuwa member mzuri sana kwa kufuatiria thread za wadau hapa jamvini na kila coment wachangiazo wadau humu ASALI lazima itahusika. Kiukweli walio wengi hugaramikia maelfu kuweka security systerm na hata yale makampuni ya ulinzi kwaajili ya kuwalinda na vibaka ,wadokozi,wezi,majangiri na majambazi na kumsahau mlinzi huyu malidadi ASALI.
Sasa mlinzi kinga na tiba ya maladhi mbalimbali na hata yale sugu na wale wenye matatizo ya nguvu za kiume pateni kinga,tiba kwa bei nafuu. Ipo asali mbichi ya nyuki wakubwa naiuza kwa lita sh 10,000 tu kwa reja reja na sh 8000 kwa jumla.
Hata ukihitaji yenye masega yake ambayo haija kamuliwa nayo ipo. Mim napatikana mwenge dar es salaam kwa mawasiliano zaidi 0717 228064.