dawa kiboko ya JF doctor hii hapa pata tiba hapa

dawa kiboko ya JF doctor hii hapa pata tiba hapa

Habari mkuu, naomba nije mimi niichukuwe hiyo ofa
mim naomba nitoe OFA kwa member 1 hapa jf ya lita 1 ya asali ili aje na feedback hapa jamvini?? Kama utanipigia sim OK au kama uta ni pm haina shida pia.
 
Shule safi. Je unaichanganya a nini kupasta tiba mbali mbali?
 
Back
Top Bottom