jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama result ya dawa ndiyo shepu hiyo basi hakuna haja kumchukulia hiyo dawa Mrs wangu maana kishepu tu anajitoshereza kwa kweli..View attachment 420767
Kumbe eeeh,basi ngoja nije PM tuyajenge.Ila unywele hana mkuu na dawa ipo...
Samahani dada km nimekukwaza ....... hasara ya dawa hizo ni kubwa kuliko faida ,Halali yako haramu ya mwenzako... endelea kupre
fer wa kienyeji hivyohivyo
Halali yako haramu ya mwenzako... endelea kupre
fer wa kienyeji hivyohivyo
Samahani dada km nimekukwanza ....... hasara ya dawa hizo ni kubwa kuliko faida ,
Kutumia madawa kutengeneza shape au rangi ni hatari sana kwa binadamu , usiwadanganye wenzio wenye uelewa mdogo (ill-informed )
MUNGU ANAKUONA
Umeona kumbe. ..... mungu hapendi mambo haya ya ajabu ajabu. ....yeye katuumba kwa rangi na shape nzuri. ... wewe unataka kumsaidia kwa kutuuzia madawa toka Guangdong[emoji15] [emoji15]Wala hujanikwanza mpendwa! ila usipende kumuingiza Mungu kwenye mambo ya ajabuajabu,
Mungu anayeniona mimi muuza dawa anakuona wewepia kwenye yale yako
Kwa kweli na akujeBado kitambo kidogo tu mpendwa wangu jiandae kumlaki mawinguniii
Umeona kumbe. ..... mungu hapendi mambo haya ya ajabu ajabu. ....yeye katuumba kwa rangi na shape nzuri. ... wewe unataka kumsaidia kwa kutuuzia madawa toka Guangdong[emoji15] [emoji15]
KUMBE rubii MZURI HIVYO WALAH HUKO PM LEO KIMBEMBE HASWAAFinally found.
View attachment 420800