ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Msaada naomba mnambie mafuta gani hukuza nywele haraka kwa mfano umenyoa zote kichwan Sasa unataka ndani ya Mwezi au miezi ziwe ndefu za kuchana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi mkuu natafuta mke nowIla braza nyuzi zako bhana!
Unatakiwa uoe sasa ndugu yangu!
Ukianza vikao unitafute na mimi nikuchangie chochote kitu Mkuu.Ni sahihi mkuu natafuta mke now
Ndege john utao wewe mke utamuweka wapi?.Minakuonaga sana fukwe za Ziwa unazagaazagaa tu kilasiku[emoji23]Ni sahihi mkuu natafuta mke now
Namuweka kwa Bibi yangu coz Hana mdada wa kumsaidia kaziNdege john utao wewe mke utamuweka wapi?.Minakuonaga sana fukwe za Ziwa unazagaazagaa tu kilasiku[emoji23]
Msisahau kunila tenda ya kucheza show 🙋🙋Ukianza vikao unitafute na mimi nikuchangie chochote kitu Mkuu.
Aiseeeeeeee!Ndege john utao wewe mke utamuweka wapi?.Minakuonaga sana fukwe za Ziwa unazagaazagaa tu kilasiku[emoji23]
Doh..!!Namuweka kwa Bibi yangu coz Hana mdada wa kumsaidia kazi
Utaweza kukata mauno kama Yale ya Kangi?Msisahau kunila tenda ya kucheza show 🙋🙋