SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Habari wana Jamvi.
Nilikuja na mada hapa ya kuumwa malaria na tyford nashukuru sana kwa walio changia kwa ushauri. Ila kuna dawa nimepata naona inanisaidia sana na kiukweli nimepona na naomba mungu niendelee kuwa mzima. Hiyo dawa ni ya mitishamba imesagwa na kuchanganywa na asali. Kwakweli kwangu mie ni nzuri sana na ni rahisi kuinunua.
Nilikuja na mada hapa ya kuumwa malaria na tyford nashukuru sana kwa walio changia kwa ushauri. Ila kuna dawa nimepata naona inanisaidia sana na kiukweli nimepona na naomba mungu niendelee kuwa mzima. Hiyo dawa ni ya mitishamba imesagwa na kuchanganywa na asali. Kwakweli kwangu mie ni nzuri sana na ni rahisi kuinunua.