Dawa muhimu na dawa za mitishamba

Dawa muhimu na dawa za mitishamba

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Uko upande upi?

Binafsi nazikubali dawa muhimu kwa kuwa ni uhakika kupona unapozitumia, zimeundwa kwenye Right Proportion (Composition), pia wataalamu wamekaa maabara miaka na miaka kuzifanyia utafiti, ni rahisi kutumia n.k
 
KILA DAWA INA UMUHIMU WAKE.KUNA MAGONJWA MENGNE KM KANSA HUWEZ KUPONA KWA DAWA MUHIMU WAKAT KANSA NJI UGONJWA RAHISI SANA KUTIBU KWA FORMULA NDGO TU YA MITISHAMBA NA VYAKULA
 
KILA DAWA INA UMUHIMU WAKE.KUNA MAGONJWA MENGNE KM KANSA HUWEZ KUPONA KWA DAWA MUHIMU WAKAT KANSA NJI UGONJWA RAHISI SANA KUTIBU KWA FORMULA NDGO TU YA MITISHAMBA NA VYAKULA
Mkuu tupatie muongozo kuhusu hzo dawa mitishamba zinazotibu na vyakula pia
 
Mitishamba ndo mpango mzima. Hata za waganga wetu ni uhakika japo mbele za watu tunazuga hatuzipendi na hatuzitumii
 
Back
Top Bottom