dawa nahitaji plz

dawa nahitaji plz

jaman nsaidien dawa kuondoa tatuu plz,
kwa anaejua bac nahitaji ushauri
Mkaka sijui mdada na wewe nawe nenda pale round about ya ttcl kwa nyuma huku karibia na TRA kwa nyuma huku samora kuna watu hapo wanachora chora na pia wanafuta tatoo hapo.ila bei kubwa kidogo.mie nilishafuta hapo.
 
Mkaka sijui mdada na
wewe nawe nenda pale round about ya ttcl kwa nyuma huku karibia na TRA
kwa nyuma huku samora kuna watu hapo wanachora chora na pia wanafuta
tatoo hapo.ila bei kubwa kidogo.mie nilishafuta hapo.

Nashukuru kwa msaada
 
Back
Top Bottom