zhi you nhi
Member
- Dec 16, 2012
- 60
- 18
jaman nsaidien dawa kuondoa tatuu plz,
kwa anaejua bac nahitaji ushauri
kwa anaejua bac nahitaji ushauri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko sehem gani hasa mkuu? Samahan lakini...
Ni kuchora tatoo nyingine ya Msalaba au Mwamedi.
mikononi ipo
inanikera nowadays kuna nguo nashindwa vaa kabisa
Mkaka sijui mdada na wewe nawe nenda pale round about ya ttcl kwa nyuma huku karibia na TRA kwa nyuma huku samora kuna watu hapo wanachora chora na pia wanafuta tatoo hapo.ila bei kubwa kidogo.mie nilishafuta hapo.jaman nsaidien dawa kuondoa tatuu plz,
kwa anaejua bac nahitaji ushauri
Mkaka sijui mdada na
wewe nawe nenda pale round about ya ttcl kwa nyuma huku karibia na TRA
kwa nyuma huku samora kuna watu hapo wanachora chora na pia wanafuta
tatoo hapo.ila bei kubwa kidogo.mie nilishafuta hapo.
Km uliapply kwa kutumia
piko itatoka ila km niile ya Kujichoma mhh sijui au waone hao wachoraji
wanaweza kukusaidia!
Ni kuchora tatoo nyingine ya Msalaba au Mwamedi.