Chills
Member
- Aug 24, 2018
- 51
- 74
Achana na hizo mambo, ukisikia gas nenda chooni jilazimishe kukata gogo, utajamba mpaka tumbo linakuwa safi.Mrundaruna ndo nini mkuu ufafanuzi kidogo
Ukiendelea kutunza hiyo gas kama ni mwanaume hata show huwezi piga vizuri