Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Dawa ya ashki kwa wanawake inahitajika(libido boost medicine)

Hello wakuu

Kabla sijajiunga na JF
Nimekua nikipitia nyuzi mbali mbali hapa jamii forum kwa kila jukwaa na pia niliona nyuzi mbali mbali kuhusiana na kukosa hamu ya tendo kwa Wanawake pamoja na kusoma comments za wadau mbalimbali

Lakin stil sijaona suluhu yaani dawa ya kuleta ashki iliyopimwa mamlaka ya afya na kuthibitishwa katika matumiz.....nkaona ni vyema nikajisajili JF na kutoa hii post huenda nkapata msaada juu ya hili tatizo langu hii ndio post yangu ya kwanza mm humu JF sio mgeni mara nying napita juu tú na kusoma yaliyomo nkaona ni vyema nkawa member kabisa

Jaman nahitaji dawa ya ashki kwa yoyote mwenye nayo anisaidie tafadhali.ama anielekeze zinapopatikana tafadhali

Najitahidi sana kumuomba Mwenyez Mungu juu ya hili tatizo ila bado sijapata dawa wala ufumbuz ila najua Mungu ndio kila kitu.na ntapona ivyo kwangu Mwenyez Mungu ndio kila kitu

Njia nyingine
Nishaenda kwa psychologists but it doesn't.work.....nishaenda hospital but they told me I don't have any problem......nishachekiwa vipimo vya kila namna Sina jini mahaba wala nn na Sina stress zozote zile sababu naishi maisha mazuri sana ambayo kila mmoja angetamani ayapate

Lengo haswa la uzi huu nahitaji dawa tu nasio ushauri tafadhali naomba mnielewe.....nahitaji dawa ya ashki tú iwe ya mitishamba ama yoyote ile kikubwa iwe imethibitishwa kimatumizi

Kwa yoyote mwenye dawa ya ashki kwa Wanawake anipatie tafadhali ....sitaki jokes kua serious na kama huna mchango potezea tú


Nb nimeolewa na ndoa yangu bado ni changa!!!!!!!

Mwenye iyo dawa tujuzane.....Ahsanteni!!!!!!!!

Pole sana,pendelea kula ndizi pia relax alafu hata supu ya pweza na samaki kwa wingi bila kusahau nyanya chungu.Kabla ya kufanya tendo jaribu kula vinavochangamsha damu kama chai ya tangawizi au kilevi kidogo alafu .
 
Pole sana,pendelea kula ndizi pia relax alafu hata supu ya pweza na samaki kwa wingi bila kusahau nyanya chungu.Kabla ya kufanya tendo jaribu kula vinavochangamsha damu kama chai ya tangawizi au kilevi kidogo alafu .


Ahsante kwa ushauri mkuu ntafanya ivyo
 
Pole mwaya kuna kahawa flani....pamoja na bablish za kuleta ashki.....pia kuna mafuta flani ya kupaka kwenye uke ya kizungu lakn yametengenezwa na blackseed ama habbat souda yaani ukiyapaka tú baada ya nusu saa ni balaa mumeo asiende mbali otherwise ni majanga inshort zipo dawa za kila aina kwa nchi za wenzetu zilizoendelea niliziona kipind nikiwa CND....Prince Edward Island

Ata kwahapa dar zipo chache tu baadhi japo kuzipata ni mbinde lakin nenda Maryrose Cosmetics Posta Samora Avenue nami nilikua nasumbuliwa na tatizo kama lako ila saiv kushney naenjoy ndoa yangu vizur tu....sasa jarib kwenda hapo ukikosa nijulishe nikupunguzie haya mafuta na soon nkisafiri ntanunua mengine mengi zaid

NB.......Mtegemee Mungu lia na Mungu....thamini sana ndoa yako naamini utapona tu!!!!!!!!!

Ubarikiwe sana dada, umemsaidia sana huyu binti. Hakika ni wachache wenye moyo kama wako hasa wa kutaka kumpa hata kiasi cha dawa yako. God bless you abundantly.
 
Pole sana,pendelea kula ndizi pia relax alafu hata supu ya pweza na samaki kwa wingi bila kusahau nyanya chungu.Kabla ya kufanya tendo jaribu kula vinavochangamsha damu kama chai ya tangawizi au kilevi kidogo alafu .
Ndizi mbivu au mbichi za kupikwa au kukaanga, ila pia asante kwa msaada, mtaponya ndoa nyingi.
 
Ubarikiwe sana dada, umemsaidia sana huyu binti. Hakika ni wachache wenye moyo kama wako hasa wa kutaka kumpa hata kiasi cha dawa yako. God bless you abundantly.

Amiiiiin Mungu ambariki sana ni kweli mkuu kuna watu Mungu kawajalia roho za huruma
 
jitahidi kila siku ukitaka kukutana na huyo mumeo kunywa amarura au zanzi sio dawa lakini itakuwa inakusaidia sana, kunywa taratibu baada ya nusu saa au lisaa limoja utaona matokeo. jaribu harafu uje utoe feedback hapa au niPM
 
jitahidi kila siku ukitaka kukutana na huyo mumeo kunywa amarura au zanzi sio dawa lakini itakuwa inakusaidia sana, kunywa taratibu baada ya nusu saa au lisaa limoja utaona matokeo. jaribu harafu uje utoe feedback hapa au niPM

Ahsante mamy ntafanya ivyo!!!!!!!!
 
Nina solution ya tatizo lako! lakini kwanza naomba unijibu maswali haya mawili,kumbuka kila swali lina solution yake tofauti
1.Je,huwa unaota unafanya mapenzi usiku au wakati wowote?
2.Ulivyopima walikuambia homoni zako ziko sawa? Ipo dawa ambayo hutaitaji kutumia kila wakati wakati unapotaka kukutana na mumeo,hii itakupa suluhu ya kudumu.nimesaidia wengi wenye matatizo kama yako!

NB: MIMI SIO MGANGA WA KIENYEJI!
 
Nina solution ya tatizo lako! lakini kwanza naomba unijibu maswali haya mawili,kumbuka kila swali lina solution yake tofauti
1.Je,huwa unaota unafanya mapenzi usiku au wakati wowote?
2.Ulivyopima walikuambia homoni zako ziko sawa? Ipo dawa ambayo hutaitaji kutumia kila wakati wakati unapotaka kukutana na mumeo,hii itakupa suluhu ya kudumu.nimesaidia wengi wenye matatizo kama yako!

NB: MIMI SIO MGANGA WA KIENYEJI!

Hapana mkuu Sijawahi kuota ndoto ya kufanya mapenz ata siku moja

Pili walinifanyia tú ultra sound wakasema niko fit sina tatizo

Ahsante kwa msaada wako je hiyo dawa yako ni ya kizungu ama ya asili naww ni daktar ama?ntashukuru nkiipata iyo dawa mkuu nahitaji ufafanuz tafadhali
 
Nina solution ya tatizo lako! lakini kwanza naomba unijibu maswali haya mawili,kumbuka kila swali lina solution yake tofauti
1.Je,huwa unaota unafanya mapenzi usiku au wakati wowote?
2.Ulivyopima walikuambia homoni zako ziko sawa? Ipo dawa ambayo hutaitaji kutumia kila wakati wakati unapotaka kukutana na mumeo,hii itakupa suluhu ya kudumu.nimesaidia wengi wenye matatizo kama yako!

NB: MIMI SIO MGANGA WA KIENYEJI!

Mkuu hiyo dawa yenye suluhu ya kudumu inahitajika sana unaonaje ukadadavua kwa faida ya wote/?
Shukrani
 
Nitafutie Mbuzi mwenye rangi ya Zambarau, Mchele kilo mia mbili, Maharagwe debe nne,Sisimizi aliyefiwa na Mjomba wake MziziMkavu ya jiwe jeusi,Dhahabu karai mbili,kofia mbili za Polisi,pembe tatu za Ndovu na Faru moja,Nyusi za Simba mwenye miaka mnne dume, Vichwa viwili vya wachina waliokuwemo kwenye ndege ya Malaysia iliyopotea lete hivyo vitu nikutengenezee dawa... fanya fasta...si unataka uwe na haski? ukishindwa kuna watu wapo kufanya hiyo kazi watumie m-pesa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hiyo dawa yenye suluhu ya kudumu inahitajika sana unaonaje ukadadavua kwa faida ya wote/?
Shukrani

Ni dawa iliyotengenezwa kutoka kwenye mimea asilia kutoka Marekani ( 100% Natural).No side Effect.
 
Hapana mkuu Sijawahi kuota ndoto ya kufanya mapenz ata siku moja

Pili walinifanyia tú ultra sound wakasema niko fit sina tatizo

Ahsante kwa msaada wako je hiyo dawa yako ni ya kizungu ama ya asili naww ni daktar ama?ntashukuru nkiipata iyo dawa mkuu nahitaji ufafanuz tafadhali

Ni dawa ya Kizungu ila imetengezwa kiasilia( 100% Natural). Sijasomea udaktari ila nini knowledge kuhusu treatment kuhusu dawa hizi! Karibu!
 
Back
Top Bottom