1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 604
Wadau nakuja jukwaani hapa kuomba msaada mmoja tu,napenda kujua je ni muda gani unaruhusiwa kupata alcohol baada ya kunywa dawa ya malaria aina ya ekelfin,kuna mdau ameniambia kua ni 200 hours,nimeshindwa kuamini sana ilo,maana sijawahi pata sikia kua kuna dawa ya malaria inayokaa mwilini kwa 20
hours
hours