Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

Kha.leo nimeenda phamarcy kununua dawa ya vitamin C muhudumu kanipa hyo kwenye kifungashio kurudi hom nakuta kitu Erecto-50
Ikanibidi ni google sindo uzi ukafunguka wa jf..
Sasahv narudi phamarcy aniambie dhumuni lake haswa nilipi..

πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ kwa sauti kubwaaaaaaa
 
Fanya mazoezi ndugu, kula vizuri!
Nikivaa condom tu inanipa airtime mpaka sometime naacha tu kuendelea nitaua wadada wa watu.
 
Nauza kasongo mundende, vumbi kutoka kongo dawa ya asili mitishamba inasaidia kuongeza nguvu za kiume na kurudisha heshima ya ndoa karibuni wote.
Warning use at ur own risk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina madhara mi ninazo dukan kwangu na ninaziuza kwa sasa ni 4500 kwa kidonge cha mg yoyote.
Mwanzoni Kama mwezi wa 8 nilikuwa nauza kwa 3500 vimepanda maana pharmacy anayoniletea kapandisha toka 2200 mpaka 3100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…