Kha.leo nimeenda phamarcy kununua dawa ya vitamin C muhudumu kanipa hyo kwenye kifungashio kurudi hom nakuta kitu Erecto-50
Ikanibidi ni google sindo uzi ukafunguka wa jf..
Sasahv narudi phamarcy aniambie dhumuni lake haswa nilipi..
Nenda pharmacy yoyote utazipatazinapatikana wapi hapa dar mkuu...
Kidonge kimoja ni sh 3000zinauzwaje hizo dawa za erecto
Fanya mazoezi ndugu, kula vizuri!WanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo.
Pili, haina madhara kwa afya?
Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi zinazohusiana na matatizo ya nguvu za kiume hivyo kama kuna wazoefu wanaweza kushauri iwe sehemu ya suluhisho kama kweli zina uwezo huo.
Haina madhara mi ninazo dukan kwangu na ninaziuza kwa sasa ni 4500 kwa kidonge cha mg yoyote.WanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo.
Pili, haina madhara kwa afya?
Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi zinazohusiana na matatizo ya nguvu za kiume hivyo kama kuna wazoefu wanaweza kushauri iwe sehemu ya suluhisho kama kweli zina uwezo huo.
Aisee....hatari.kama unataka kuwa ------- ukifika miaka 40 basi tumia!