Kha.leo nimeenda phamarcy kununua dawa ya vitamin C muhudumu kanipa hyo kwenye kifungashio kurudi hom nakuta kitu Erecto-50
Ikanibidi ni google sindo uzi ukafunguka wa jf..
Sasahv narudi phamarcy aniambie dhumuni lake haswa nilipi..
🙂🙂🙂 kwa sauti kubwaaaaaaa