Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

Dawa ya erecto - 20mill, 50mill na 100mill, je zinachelewesha kufika haraka?

Tatizo la nguvu za kiume kwa vijana wengi pia linasababishwa na msongo wa mawazo ya maisha.unapokuwa na mawazo ya hela ni ngumu kuweza kujisikia hamu ya sexx kwa mwenza wako.😀
 
Bora kwetu tunatumia dawa ya mti asili inaitwa kidayenge, ila tatizo la hii ni kwenda haja ndogo sana ila kwa huku kwetu pwani inasaidia ndio maana wazee wetu wanamiliki vibinti vidogo tena 2-4
 
Nitafute mkuu
Narafiki yangu ni dreva kila mwezi lazima aende drc iyo dawa bwana ukipaka kwenye kichwa shughuli yako do mm uwa najifanya nimekojoa kumbe uongo kisha najifanya naunganisha ndani kwa ndani mpaka nikija kukojoa nisha piga bao za uongo kama nane ivi ila ukipaka nyingi ulali mpaka kesho
 
Narafiki yangu ni dreva kila mwezi lazima aende drc iyo dawa bwana ukipaka kwenye kichwa shughuli yako do mm uwa najifanya nimekojoa kumbe uongo kisha najifanya naunganisha ndani kwa ndani mpaka nikija kukojoa nisha piga bao za uongo kama nane ivi ila ukipaka nyingi ulali mpaka kesho
Mcongo habari nyingine hua naitumia kwa wale watt wabishi bishi au ile mizigo heavy weight.
Heshima
 
Bad thing is Usiombe dem wako akakutana na watumiaji wa hizi vitu mazee atakushusha nyota zote.
 
mi naamini dawa nzuri ya hizi mambo ni kula tu vizuri, kukata kitambi cha maharage na chips,, kupiga tizi,, kupumzika vizuri, kutokua na stress na muhim zaid kuiweka saikolojia yako hivyo.. ukiwaza unaweza unajikuta unaweza tuu
 
unamaanisha 25, 50 na 100 mg?, Mill ni kipimo gani hicho?

Otherwise ERECTO ni brand name, dawa yenyewe inaitwa Sidenafil, google kuhusu Sidenafil utapata maelezo ya kutosha kwa swali ulilouliza.
zinapatikana wapi hapa dar mkuu...
 
Watu wapekuz sana[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji16] [emoji15] [emoji12] [emoji13] [emoji14]
 
shuda yote ya nini mkuu, kuna dawa ya miti shamba inatokea drc inaitwa kasongo, uo ni mti tu umesagwa then ukawa unga, unapaka tu kwa mzee alaf unakaa kama nusu saa, ingia kwenye mechi sasa, utaona muziki wake.
Mkuu umenikumbusha mbali sana kuna jamaa yangu ni dereva wa malori alitoka nayo kongo alikua anaiita kasongo nyembo ni balaa
 
WanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo.

Pili, haina madhara kwa afya?

Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi zinazohusiana na matatizo ya nguvu za kiume hivyo kama kuna wazoefu wanaweza kushauri iwe sehemu ya suluhisho kama kweli zina uwezo huo.
Ni wazi kua ulikua mpiga punyeto mzuri sana katika hatua ya makuzi yako!!


Kukojoa upesi ndio moja ya madhara ya upigaji wa punyeto kwa muda mrefu......

Jitahid sana kufanya romance kwa muda mreeefu unapokua faragha na mwenzio sio vibusu viwili vitatu tu unamrukia mwana wa watu wakati wajijua ukizungusha pedel mbili tu ushakojoa.

Fanya romance ya kutosha kabisa jaribu kuwa mdadisi wa maeneo muhimu yatakayomfanya huyu mwana mwali asisimke sana kabla hujapandia baiskeli....

Pia lazima ujue si kila demu anaridhishwa kwa kupanda muda mrefu au kumsugua sana.....
Sex is an art!! Lazima uwe strategic unapokua unapiga mzigo, unaweza ukatumia muda mfupi tu na ukawa umemkojoza mwana wa watu hata goli tatu ndani ya dk 5 tu.

Kusugua muda mrefu kwa baadhi mademu huwasababishia michubuko na mwishoe hatasikia raha ya sex na hata mkimaliza hapo huenda asikukumbuke kwa uhodari wako wa kukaa sana juu bali kwa michubuko kadhaa uliyompa!!

Achana na masuala ya hizo dawa we fanya mazoezi, kula vizuri ikiwa ni pamoja na karanga, pweza nk then pata nafasi ya kupumzika vzr!!

Kumbuka ni upigaji wa muda mrefu wa punyeto ndio uliokufikisha hapo mpk unaanza kutafuta vitu vya kuboost.....

Sasa hizo dawa uzitakazo ujue kabisa ni boom lingine unalitengeneza la kukudhuru baadae!!
Sasa we zitumie ila usije kuoa hapo baadae maana lazima tu watu wakuchapie mkeo kwa kua we nguvu utakua huna kabisaa na ukibahatika kuwa nazo lazima zitakuwa za kupepea sana.

Kameze ERECTOR mkuu mie nitakuja kukusaidia mkeo hapo baadae.....
 
Mimi ninayo Dawa yangu ya kuchelewa kufikia kileleni ni dawa ya mafuta unajipakaa kwenye uume wako na kisha unaanza kufanya mapenzi na haina madhara kwa binadamu mimi mwenyewe nimesha wahi kuitumia ukihitaji ninauza shillingi laki Laki 1 na nusu. Ukitaka nitumie Email baruwa ya pepe email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com Au waweza kunitembelea kwenye blog yangu kwa kubonyeza hapa.Mzizi Mkavu

Mkuu kwanini utumie Dawa halafu baadae inakuja kukudhuru (Side effect)? tumia Dawa zisizo kuwa na madhara ni bora kuliko kutumia dawa zenye madhara halafu ukija kuacha uume wako unakuwa ni wenye kusinyaa hausimami kama zamani tuwe waangalifu na madawa ya kizungu.

Mkuu hiyo dawa inamaliza tatizo la kuwahi kukojoa kabisa au niyamuda tu kwa kila wakati wa tendo?
 
WanaJF ambao mmeshawahi kutumia vidonge hivyo, naomba kujua kutoka kwenu kwa maslahi ya wengi kama ni kweli unaweza kuchelewa kwa kutumia hizo.

Pili, haina madhara kwa afya?

Nilisikia tu kutoka kwa vijana waliokuwa wanaizungumzia kijiweni. Pia nimeileta hapa baada ya kuona post nyingi zinazohusiana na matatizo ya nguvu za kiume hivyo kama kuna wazoefu wanaweza kushauri iwe sehemu ya suluhisho kama kweli zina uwezo huo.

MADHARA YA DAWA HII NI KAMA IFUATAVYO;
The recommended dose of Viagra is 25-100 mg taken 30 minutes to 4 hours before sexual activity. Viagra may interact with similar medications [such as avanafil (Stendra), tadalafil (Cialis) or vardenafil (Levitra)], bosentan, cimetidine, conivaptan, imatinib, isoniazid, antidepressants, antibiotics, antifungals, drugs to treat high blood pressure or a prostate disorder, heart or blood pressure medications, hepatitis C medications, or HIV/AIDS medicines. Tell your doctor all medications and supplements you use. Viagra is intended for use in men, and is unlikely to be used in women who are pregnant or breastfeeding. However, Viagra is not expected to be harmful to a fetus. Tell your doctor if you are pregnant or plan to become pregnant during treatment with Viagra. It is unknown if Viagra passes into breast milk or if it could harm a nursing baby. Consult your doctor before breastfeeding.
Our Viagra Side Effects Drug Center provides a comprehensive view of available drug information on the potential side effects when taking this medication.

This is not a complete list of side effects and others may occur. Call your doctor for medical advice about side effects. You may report side effects to FDA at 1-800-FDA-1088
 
Back
Top Bottom