Dawa ya kidonda sugu

Dawa ya kidonda sugu

Mjomba angu alipataga ajali alipata kidonda mguuni! Kidonda kilihangaikiwa hicho watu wakachoka! Sasa mwaka wa 15 huu anakidonda...kipo hivyohivyo, hakina dalili yakupona! Na ukikiacha siku 3 tu haujakisafisha utakutana na funza km Mia hivi! Kina harufu mnoo! Pole Sana...fanyeni maombi mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ana utajiri mkubwa huo ndo uchawi wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu bado nahitaji mawazo yenu hali inazidi kuwa mbaya.
 
Bado nahitaji mawazo yenu hali ndio ilivyo kwasasa.
IMG_20200303_180014_3.jpg
 
Rudi tena hospital.. Lakini safari hii badili.. Kisha hakikisha unafanya vipimo sahihi na kupata tiba sahihi... Epuka hospital za uchochoroni na next time kumbuka kucheza salama... UKIMWI UPO NA UNAUA.. HOMA YA MANJANO IPO NA INAUA

Jr[emoji769]
 
Rudi tena hospital.. Lakini safari hii badili.. Kisha hakikisha unafanya vipimo sahihi na kupata tiba sahihi... Epuka hospital za uchochoroni na next time kumbuka kucheza salama... UKIMWI UPO NA UNAUA.. HOMA YA MANJANO IPO NA INAUA

Jr[emoji769]
Tulishafanya vipimo vyote sukari hana HIV hana, tulishauriwa kwenda ocean road kwa vipimo zaidi,,, anatakiwa kufanyiwa biopsy.
 
Kuna dawa nyingine Ni ngumu hata kumueleza mtu!

Mlisha Pima cancer?!

Majibu?

Nenda kigoma ... Na mama yake anajua Hilo?! Mlishamwendea na kuongea nae kirafiki...

Tumia ziada ya akili mkuu.. ..

Pole Sana..


Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu
Kienyiji tumeshaenda tupigwa kama laki sita na nusu kidonda kipo pale pale,kwanza kwa waganga ndo kinatota kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba yako pm kunaa mtu alikuwa na donda ndugu , alihangaika matibabu hadi nje ya nchi lakini hakupona.
Nilishuhudia takribani miaka 10 analo hilo donda na kapona mwaka jana kwa kutibiwa na mama mmoja.
 
Poleni, na kuna kitu mngetumia tuyaone matokeo.

Hii ni kwa wote wenye vidonda sugu, tufanye ni kama utafiti binafsi, uzuri ni kutumia Kwa nje[topical] hivyo haiathiri madawa engine unayomeza nahisi.

Da'wa yenyewe ni hii hapa:👇
1658761300202.png
 
Dukani, Nenda machinjioni kachukue mapembe ya ng,ombe manne yachome hadi yawe majivu, then nunua asali mbichi saga yalainike the changanya na asali utakuwa unapaka kila asubuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pia niliisikia kwa hao wa kienyeji, mwingine alishauri uokote yale mapembe yaliypkaa muda yakapigwapigwa mvua yakaota hadi uoto fulani hivi.

Tafuta hii pia, tunashauri hizi tiba pia kwa sababu umeshasema mmechoma sindano kali kali sana tu.

Mfano Dukani mkawa mkitumia hii au ya tembele au vyote kwa pamoja mje mtuletee mrejesho

Haya matatizo yafike mwisho sasaa
 
ndio Ila baba baba yake alishafariki, mama yake yupo Ila inasemekana ni mchawi japokuwa sitaki kuamini hilo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia address hii ishu, ikiwa anaishi kwa hofu ya kitu chochote, hofu yoyote ya kudumu hupunguza kupumzika kwa mwili ambacho huwa ni kigezo muhimu katika uponyaji.

Unajua ukweli ni kwamba huwa tunapona sisi wenyewe na dawa zipo kutusaidia tu kuzuia wadudu wasiozeshe, na vitu vingine vidogovidogo. Mwili binafsi unatakiwa uwe katika kupona mode kwanza.

UPDATE: Baada ya kuwa nimepost hizo tiba nikaiona na picha ya mwisho moyo umeuma mazee. Poleni sana.

Naomba kusisitiza kwenye suala la usawaziko wa kihisia, kutulia na kuondoa hofu. Ikiwa ni kweli anaogopa labda kuna mtu kamchezea basi fanya ufanyavyo hadi aamini kwamb sasa yupo salama. Hasa kwa kuwa chini ya Mungu mkuu [hata nabii mkubwa mwenye mamlaka will do- hizi ni desperate measures kwa asiyeweza kujiamini bila ishara za waziwazi]. Akishatulia akamini all is well ndio uponyaji utaendelea. Ni ushauri tu lakini sio sheria.
 
Chukua pembe la ngombe lichome lote na mfupa wake usage iwe fine dust utakuwa unapaka hspo hadi lipone
 
Back
Top Bottom