Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaongea na pandikizi la mtu hapa, halafu liulize ni limtu la kanda gani na sasa linabofya kompyuta mpakato likiwa wapi! ukipata jibu usiniombe msamaha:smile-big::smile-big::smile-big:Ndio maana panya road wanawakimbiza silesi mbili na soda imeisha siku.
hata kwa makobola ya nuclear siwezi.
ninataka nisile chakula chochote siku nne bali ninywe maji tu nitafanikiwa?
Nenda kakope uone au nunua gar bovu,Nakpa siku 7 utakuwa kama flavian matata
katika mlo wako kwenye sahani yako pakua mboga nyingi na kiwango kidogo cha wanga hapo utajisikia umeshiba ila utakua umepunguza wanga mwilini ambao ndo unasababisha unene. hii program sio ya wiki moja ni ya miezi hadi uone matokeo vile hutaki kutumia dawa
Nenda kakope uone au nunua gar bovu,Nakpa siku 7 utakuwa kama flavian matata