Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
3.Achana na matumizi vinywaji vyenye sukari vya viwandani kama vile soda, pia epuka matumizi ya pombe hasa bia.
“Kitambi sio afya, ni dalili ya magonjwa, piga vita kitambi”[/QUOTE]
Hapo kwenye red ndiyo mchawi mkubwa kabisa, lakini WHO wanasema kunywa pombe in moderation kunaongeza siku za kuishi.